Dua za dhati kwa swahiba wangu Floyd Mayweather


Wewe ndio hufuatilii sanaa hii ya mapambano....Conor amesubmit mara tatu na leo itakuwa ya nne
 
floyd ananiboa ulimbukeni wake wa pesa,pamoja na kuniboa nataka amtandike mzungu kwa knock out kali..go ahead.call me racist.
 
Mkuu huo ndio utambulisho wake huyo mywether

nina wasiwasi na hili pambano wazungu wanataka

kufanya yao hapa. Mtaniambia hii ngoma floyd

anapigwa.
 
Jamaa ana kichwa kikubwa lazima makonde mengi

ya mywhether yata- land kwenye hiyo sura yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…