othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Wanaacha dola wanatumia nn? au ndio hiyo rubo na yuani?[emoji848]Usisahau kuna utajiri wa kutoa kafara a. k. a utajiri wa nguvu za giza na mwisho wake unajulikana.
Sasahivi watu wanaachana na dola, tusubiri muda utasema
Hizi hela hata ukizikuta barabarani zimedondoshwa unaweza ukazipita tu[emoji3061]
Ila dollars in mvuto wake