Dua zenu kwa jeshi la Jangwani

moody kabwe

Member
Joined
Mar 13, 2015
Posts
76
Reaction score
21
Yanga: iko airport kwa ajili ya safari ya Tunisia ila bahati mbaya kiungo Haruna Niyonzima ameugua ghafla ana malaria hv sasa yupo kwenye drip
Ila Salum Telela leo amefanya mazoezi na kidogo yupo fit wanaenda nae
 
Daima mbeleee







Dondosha kikosi chote apa kilicoenda TUNIS kaka moody kabwe
 
Wewe kwa mawazo yako unafikiri Utapata hata droo!!!.kutoa sare hapa kwako ni KOSA KUBWA HIVYO WAMEENDA KUVINJARI TU NDIO MAANA WATAPITIA DUBAI KUFANYA SHOPPING. WENYEWE WAMESHAJUA HIVYO. Jiandae kupokea kipigo kikali. Kiboko cha waarabu ni simba sc pekee.
 
Yanga: iko airport kwa ajili ya safari ya Tunisia ila bahati mbaya kiungo Haruna Niyonzima ameugua ghafla ana malaria hv sasa yupo kwenye drip
Ila Salum Telela leo amefanya mazoezi na kidogo yupo fit wanaenda nae

Hata Nani Augue Na Waende Na Nani Kipigo Kwenu Ni Pale Pale Kama Vile KIFO Na BINADAMU. Nasikia Mnaenda Na Maulid Kitenge Tunisia!
 
Yanga: iko airport kwa ajili ya safari ya Tunisia ila bahati mbaya kiungo Haruna Niyonzima ameugua ghafla ana malaria hv sasa yupo kwenye drip
Ila Salum Telela leo amefanya mazoezi na kidogo yupo fit wanaenda nae

Linapokuja suala kama hill huwa naweka ushabiki na unazi kando, Nawaombea watani zangu vibonde kwa SIMBA wakashinde mechi yao ugenini
 
Hizi zinaitwa NDOTO ZA ALINACHA
 
Na hatimaye timu iko dubai kwa sasa mpaka saa 7 watakuwa tunisia kwa kujiandaa na mchezo utaokaochezwa siku ya jumamos saa 3:00 usiku kwa tanzania na kuojeshwa live na AZAMTV kupitia AZAM TWO na kutangazwa live na kituo cha radio Efm 93.7 hivyo kwa wale wanaotubeza mkae tayari
 

Faraja pekee kwa Simba iliyosalia ni kuona Etoile inaitoa Yanga mashindanoni. Endapo Yanga itasonga mbele mikia wengi lazima watazimia na watakaobaki hai 90% watarejea Yanga (walikotoka baada ya maasi ya 1936).
 
Simba waiazime Yanga benchi lao la waganga wa kienyeji.
 
Hawa ndio wachezaji wanaoiwakilisa YANGA AFRICA huko TUNISIA

MAKIPA
Ally mustafa' Barthez
Deo munishi Dida

MABEKI
Pato Ngonyani,
Oscar Joshua,
Edward Charle
Nadir Cannavaro,
Juma Abdul.
Rajabu Zahir.
Mbuyu Twite
Kevin Yondan.

VIUNGO
Niza khalfan.
Andery Coutinho
Salum Telela
Saidi Makapu

WASHAMBULIAJI
Hussein Javu
Amissi Tambwe
Kpah sherman
Mrisho Ngasa,
Jerry Tegete
Simon Msuva

hiki ndio kikosi kazi kìlichoenda Tunisia Kuwakabi Etoile Du Sahel siku ya jumamos saa 3 usiku!
 
Kila la kheri mtani wangu mm simba damu lakin cna dua mbaya zidi yko nakuombea upeperushe bendera ya klabu na inchi kwa ujumla,Amein
 
Faraja pekee kwa Simba iliyosalia ni kuona Etoile inaitoa Yanga mashindanoni. Endapo Yanga itasonga mbele mikia wengi lazima watazimia na watakaobaki hai 90% watarejea Yanga (walikotoka baada ya maasi ya 1936).

Hahahahaa mkuu Makoye Matale umenichekesha sana!
 
Last edited by a moderator:
Naiombea Yanga ishinde maana game hili lina mambo mawili ya umuhimu kwangu.
1.Ushindi ambao utapelekea urahisi katika jambo la 2.
2.Kuna ahadi nimepewa humu
A→Kifuurushi cha unlimited Internet mwezi mzima kutoka kwa Masuke.
B→Dola za kimarekani 150 kutoka kwa Apologise lady!
MUNGU IBARIKI YANGA,MUNGU NIBARIKI nifah..Amin!
 
Last edited by a moderator:
...mchezo utaokaochezwa siku ya jumamos saa 3:00 usiku kwa tanzania na kuojeshwa live na AZAMTV kupitia AZAM TWO

Habari njema hii tuweze kuishuhudia timu yetu ikipambana huko...
 
Kandambili atapigwa za kutosha,kimataifa na kandambili wapi na wapi bhana!..
 


Yanga ikishinda kwanza nazimia masaa 14 na naomba niamkie ICU. toka lini yanga kamfunga mwarabu?????
Mnadhani Manji mjinga kutoa ahadi zile???? anajua hilo jambo haliwezekani hata chembe.
 
Hata Cecafa inaandaliwa kwa assumption kwamba Waarabu wanaitoa Yanga. Wanajifanya miungu wakati mpira ni dakika tisini na ikibidi muda wa nyongeza hadi penati.
 
Uwezekano wa Yanga kushinda ni mdogo sana tena sana, hata hivyo mimi nitakupoza tu na kifurushi cha wiki kwa ajili ya kukufuta machozi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…