moody kabwe
Member
- Mar 13, 2015
- 76
- 21
Yanga: iko airport kwa ajili ya safari ya Tunisia ila bahati mbaya kiungo Haruna Niyonzima ameugua ghafla ana malaria hv sasa yupo kwenye drip
Ila Salum Telela leo amefanya mazoezi na kidogo yupo fit wanaenda nae
Ila Salum Telela leo amefanya mazoezi na kidogo yupo fit wanaenda nae