Aston Villa walipiga mkwaju moja tu galini hadi mechi inaisha na kati ya mechi 10 walizobakiza nne watapambana na timu ambazo ziko top six kwa sasa.
Siioni Aston Villa wakibaki EPL msimu ujao, uwezekano wa kushuka daraja ni mkubwa sana.
Wachezaji wote wa Aston Villa akiwemo Samatta hawana kiwango cha kucheza EPL. Championship ndio size ya ligi ile ya Belgium aliyokuwa akichezea.
Siioni Aston Villa wakibaki EPL msimu ujao, uwezekano wa kushuka daraja ni mkubwa sana.
Wachezaji wote wa Aston Villa akiwemo Samatta hawana kiwango cha kucheza EPL. Championship ndio size ya ligi ile ya Belgium aliyokuwa akichezea.