Dubai is not How it looks like. See photos of how the people suffers


Hata mtoto mdogo amekuzidi maarifa 😁😁 hapo sio dubai na wala sio waarabu hao, hao ni Bangali/wahindi ama srilanka + wapakistan.


@Mods futa huu uzi!
 
Sishangazwi kwa maana hata shilingi huwa na pande mbili
 
Hapo kweli kabisa, Wahindi waliiharibu ile nchi kwa upande wa mshahara. Wale jamaa washenzi sana, hawakatai chochote hata kiwe kidogo vipi, na waoga kupita kiasi. Bure kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…