Dubai job

sijui kama mmesikia kesi iliyofunguliwa huko uganda na wanawake waliochukuliwa kwa styl hizi na kwenda kuishia kuwa watumwa wa ngono huko arabuni
 
Nimeangalia post zooote kwa makini sana kwa hii thread. Nachotaka kusema ni kwamba kwa Vijana hasa wa-kitanzania naomba niwaase kidogo tu kutokana na kile ambacho mimi mwenyewe nimeshuhudia kwa macho yangu katika kipindi ambacho nimefanya kazi huko.
Most of comments ambazo watu wametoa humu ni positive na true about UAE and Middle East in General. Kule human rights ni kitu kigeni sana hasa kwa foreigners (these includes Indians, Pakistani, Bangladeshi, Philipino ambao naweza kusema ndio wame dominate kwa kiasi kikubwa) wanaotoka nchi masikini Africa inclusive, watu wanafanyishwa kazi kupita kiasi na huishia kukosa hata posho zao kidogo ambazo ni haki zao (coz mimi siiiti mishahara hiyo), respect ni kitu utasikia kwa masikio u will never find it, maisha ni ghali sana hata kama ungelipwa hizo cent/posho, people are frustrated na wamefikia hatua kukosa utu coz of these frustrations.
If you go to the ministry of Labour most cases ni employee kuwashitaki Employers wao kwa kutowalipa posho zao forget hayo mateso mengine ambayo hayaainishi na waajiliwa.
So please be careful sana vijana ambao mna ndoto za kwenda kufanya kazi huko especally kupitia hawa employement agents.
 
Kuweni makini, nilipata kusoma habari fulani kwenye internet kwamba kuna watu WANAHASIWA kinguvu katika baadhi ya nchi za mashariki ya kati, kisha wanafanywa kuwa wasimamizi wa wanawake wa mabosi, Wanawahasi ili wasiweze kuwaingilia hao wanawake!.
hivi kama ukihasiwa kwa nuvu halafu una akili timamu huwezi hata kupeti peti na kula denda au kuzama uvinza?
 
Hapa lengo ni kuwapata dada zetu na kwenda kuwauza huko. Wenye kiherehere shauri zao hao jamaa si watu wazuri, kwanini hawatoi profile ya kampuni husika? wanajifanya kutaka CV na Passport size, hapa lengo ni hiyo picha tu ili wachague wenye mvuto kwa biashara yao hiyo ya utumwa wa kileo. Wewe unayetafuta wafanyakazi kama ni mkweli nakushauri nenda kajisajili wizara ya kazi ili likitokea lolote kwa ndugu zetu tujue pa kukupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…