Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Don’t be too serious jirani sometimes we can have humorous talk.Hehehe!! Mbona kama mtu kahack account yako maana huwa naona sana ukipigia debe mambo ya udayaspora.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Don’t be too serious jirani sometimes we can have humorous talk.Hehehe!! Mbona kama mtu kahack account yako maana huwa naona sana ukipigia debe mambo ya udayaspora.
Sisi Tanzania tunajenga maghorofa kwa pesa ya maparachichi, tuna ardhi hatuihonga kwa Mzungu.
See? The so-called educated individuals that cannot even create reasonable, sustainable employment opportunities in and for their own country! Pathetic! Mental slavery at work!Hapa Kenya hakuna kazi ya kuajiri hawa watu wote. Isitoshe huko nje watalipwa mshahara mara nne au tano ya kile wanacholipwa hapa Kenya. Punguza wivu wakati mwingine.
Poor you! Go back to ^skull^!Tatizo unatumia maneno bila kujua maana yake, neno fact usilitumie kizembe hivyo, nimekuambia kuna madogo wengi mtaani wamesomea vitu vikubwa na sio rahisi kuwaajiri wote kwa mpigo, hivyo kama kuna namna wanapata fursa za kwenda kuongeza maujuzi huko Ulaya mbona wazuiwe.
somebody come collect their village idiotThat's clearly akin to intellectual slavery. Never be fooled by anything that glitters thinking it to be gold! Why not use the said ^experts^ within your own borders for maximum domestic benefit? Wake up!
Regarding the land question, Kenyans are literally having their compatriots in SA! Get the connection? Almost everyone in the two heavily foreign-occupied countries is, as it were, a tenant in their own land!Unamaanisha Wakenya waliamua kohonga ardhi yao yote kwa settlers na wakawahonga familia za akina Kenyatta, Jaramong na Ruto inamana kuanzia kiambu hadi mlima kenya hawana cha kwao.[mention]MK254 [/mention] njoo ujibu kidogo hapa kama kweli settlers ndio hufaidi ardhi yenu ama laaah.
jirani wameona mnafaa kwa domestic chores, nendeni mkachambishe watoto wa Kiarabu.
Watanzania tupo humu humu na Kiswahili chetu+inferiority yetuHizi ni nadharia za watu waliojichokea na wazembe.....
Mwanzo, Kenya hatuna upungufu wa watalaam, vyuo vinazalisha kila mwaka, kwa hivyo kunakua na imbalance kwenye supply and demand of labour, hivyo sio nadra umkute mtu amesomea astrophysics lakini bado anasaka ajira maana makampuni yanakuhtaji uwe na ujuzi wa walau miaka mitano.
Sasa watu kama hao wakiondoka kwenda kwenye mataifa kama hayo ambapo wataongeza maujuzi kwa kufanya kazi kwenye mazingira ambayo watakutana na kila aina ya vitendea kazi na equipments, watarudi kama wameiva pia wakiwa na hela za wao kuwekeza bila kutegemea kuajiriwa.