TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
[HASHTAG]#FAHAMU[/HASHTAG] Dubai ndio Mji pekee duniani ambayo askari polisi wake wanatumia magari ya kifahari zaidi na yenye spidi kali zaidi.
Polisi hao wanatumia magari aina ya Bugatti Veyron, Ferrarri FF au Lamborghini Aventador wanapokuwa kwenye kazi zao na kukamata wahalifu.
Hii ingekuwa bongo unadhani hali ingekuwaje!?
Polisi hao wanatumia magari aina ya Bugatti Veyron, Ferrarri FF au Lamborghini Aventador wanapokuwa kwenye kazi zao na kukamata wahalifu.
Hii ingekuwa bongo unadhani hali ingekuwaje!?