kabisa kabisa Dubai ni nchiSorry ivi Dubai ni nchi ?naomba kufahamishwa
ndio shida yetu watz hatupendi kuuliza tukaeleshwa,ok sasa hebu tueleweshe wewe Dubai ni mji mkuu au ni nini?We kilaz,a tangu lini Dubai ikawa nchi
Hahahaaa, umetilia mkazo kabisa duuhkabisa kabisa Dubai ni nchi
Alafu utakuta geography alipata A.We kilaz,a tangu lini Dubai ikawa nchi
Sorry ivi Dubai ni nchi ?naomba kufahamishwa
MJI MKUU NI ABU -DHABISio nchi ni mji Mkuu wanchi inayoitwa United Arab Emirates
Kwahyo kujitegemea huko ndio kunaifanya Dubai kuwa nchi. Daaah elimu yetu Inahitaji mapinduzi makubwa sana. Ukute una degree hapoPoint of correction, ni kweli muungano huu ni wa kipekee na wa aina yake lakini ukweli ni kwamba DUBAI si nchi ni mji mkuu na ni emirate ndani ya UAE, ukiangalia kwa haraka unaweza kuiona kama nchi kwa sababu hizo state7 zinajitegemea kama ilivyo sisi na zanzibar AM VERY SORRY
Dubai sio mji mkuu wa UAE,Dubai ni mji wa kibiashara zaidi ktk UAE Mji mkuu ni ABU-DHABIPoint of correction, ni kweli muungano huu ni wa kipekee na wa aina yake lakini ukweli ni kwamba DUBAI si nchi ni mji mkuu na ni emirate ndani ya UAE, ukiangalia kwa haraka unaweza kuiona kama nchi kwa sababu hizo state7 zinajitegemea kama ilivyo sisi na zanzibar AM VERY SORRY
Kwahyo kujitegemea huko ndio kunaifanya Dubai kuwa nchi. Daaah elimu yetu Inahitaji mapinduzi makubwa sana. Ukute una degree hapo
Nimempenda Bure huyo WP[HASHTAG]#FAHAMU[/HASHTAG] Dubai ndio nchi pekee duniani ambayo askari polisi wake wanatumia magari ya kifahari zaidi na yenye spidi kali zaidi.
Polisi hao wanatumia magari aina ya Bugatti Veyron, Ferrarri FF au Lamborghini Aventador wanapokuwa kwenye kazi zao na kukamata wahalifu.
Hii ingekuwa bongo unadhani hali ingekuwaje!?
Toa majib usiwe MaviWe kilaz,a tangu lini Dubai ikawa nchi