Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Takwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Strong pointElimu, siasa safi, uwazi kwenye uwekezaji, usalama wa wageni, uboreshaji wa miundominu ya utalii, michezo, kuepuka rushwa na UZALENDO KWA TAIFA. Ukifanikiwa kwenye hayo huna haja ya kutengeneza filamu ya Royal tour.
Hii si filamu ya kwanza kutengenezewa ila ni ya kwanza Rais kushiriki, filamu ya kwanza ilitengenezwa na wacheza sinema maarufu duniani kwa wakati ule toka Hollywood, ilipita tu kwa sababu hatukuipokea kwani haikuwa na radha zetu! Ninaamini na hii huenda mimi, wewe na yule hatutaishabikia kuliko ya Mamakimbo wa Yombo Buza, si ajabu baada ya uzinduzi hapa ndio ukawa mwisho wa baraza mkeka ukakunjwa.Japo filamu ya Royal Tour sio mkombozi wa utalii Tanzania ni booster kubwa ya utalii wetu kwa soko la Marekani.
P
Ikiwa hawakukwambia mmiliki wa hiyo filamu nivipi watasema kuhusu matokeo sana sana watapika takwimu tuSwali zuri ila Dubai sio direct competitor wa Tanzania katika utalii. Dubai anashindana na Singapore, katika aina ya watalii wanaotafuta.
Ila Royal Tour wajipange baada ya mwaka watupe faida ya hii filamu kwa utalii. Waonyeshe namba.
Well saidElimu, siasa safi, uwazi kwenye uwekezaji, usalama wa wageni, uboreshaji wa miundominu ya utalii, michezo, kuepuka rushwa na UZALENDO KWA TAIFA. Ukifanikiwa kwenye hayo huna haja ya kutengeneza filamu ya Royal tour.
Ni ufujaji wa pesa za nchiTakwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Naye siku hizi huna hoja, Filamu imetengenezwa kwa 17B je tunategemea italeta shs?Japo filamu ya Royal Tour sio mkombozi wa utalii Tanzania ni booster kubwa ya utalii wetu kwa soko la Marekani.
P
Wadau wa utalii watasema tu hata wao wakikaa kimya raia zitaongeaIkiwa hawakukwambia mmiliki wa hiyo filamu nivipi watasema kuhusu matokeo sana sana watapika takwimu tu
Pole sanaKatika kutafutamafanikio kila mtu hupita njia zake.
Wanajitangazaje? Wanapokea watalii wangapi/mwaka? Mwijaku ana influence gani Kwa watalii?Ya kwao wao wenyewe, ya kwetu tuachiewe wenyewe...
Unajua namna Dubai inavyijitangaza...