Dubai walifanya Royal Tour lini? Wapi?

Dubai walifanya Royal Tour lini? Wapi?

Kama hauna hoja ni vyema ukaiacha Post ipite.
Wewe ni mmoja wa wanaoiona filamu hiyo ni mkombozi kwenye utalii, ni kujidanganya.
tatizo una upeo mdogo sana. kuna vitu vidogo sana unashindwa kung'amua. kama Dubai wametumia njia fulani sio lazima na sisi tutumie hiyo hiyo. wakati mwengine mazingira hayafanani na mahitaji ya wakati pia. Royal tour ni kwa mazingira yetu. kagame yeye kafanya royal tour na bado anatumia akina messi. usikariri.
 
Back
Top Bottom