Wanaweza kujua kuna wanyama kama simba na tembo lakini kwa upande wa uelewa wa watu na viwango vya kufikiri vya binadamu bado sana.Baada ya hapo watalii wataota tu kwamba Kuna nchi mashariki mwa afrika Ina Serengeti,Kilimanjaro,wanadai na zenji!?
Takwimu zinaonyesha Tanzania inapata watalii wengi kutoka EU na si Marekani. Upcoming Market ni Asia zaidi China ingawa kwa hawa changamoto ya food and accommodation vilitucost. Kuna kabrasha tulilitupa pale ubalozi enzi hizo kuboresha mazingira ya utalii ili kuvutia Asian markert ambayo kutokana na saving inaenda kumlevel mzungu katika utalii.
Dubai wanalipa wachezaji wakubwa mamilioni ya dola kutangaza mji wao. Mfano kwa sasa Ambassador wao ni Shah Rukh Khan yule mcheza filamu maarufu wa India.Takwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Huyo mwijaku mwenyewe hajui hata mlima Kilimanjaro upo wapi ni kituko Cha mwaka hii nchi sijui ni lini tutatoka kwenye umaskini wa akiliWanajitangazaje? Wanapokea watalii wangapi/mwaka? Mwijaku ana influence gani Kwa watalii?
Ana digrii toka Mzumbe UniversityHuyo mwijaku mwenyewe hajui hata mlima Kilimanjaro upo wapi ni kituko Cha mwaka hii nchi sijui ni lini tutatoka kwenye umaskini wa akili
Utalii wa Dubai una promotion za gharama kubwa zaidi na zaidi sana ya promotion ya Royal Tour.Takwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Hilo neno mkombozi wapelekee Walutheri. Linahusu nini hapa. Utalii ni biashara na kinachoongelewani biashara, wacheni udini wenu wa kijinga-jinga.Kama hauna hoja ni vyema ukaiacha Post ipite.
Wewe ni mmoja wa wanaoiona filamu hiyo ni mkombozi kwenye utalii, ni kujidanganya.
Kizuri chajiuzaTakwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Kibaya chajitembezaenzi za rais nyerere watalii walikuwa wengi sana lakini hakukuwa na royal tour
Hahahahaaaa. WanaArusha wamelamba dume. INAFIKIRISHAJapo filamu ya Royal Tour sio mkombozi wa utalii Tanzania ni booster kubwa ya utalii wetu kwa soko la Marekani.
P
Visit Rwanda ya Kagame kwenye jezi za arsenal na Royal toure ipi inampact?Japo filamu ya Royal Tour sio mkombozi wa utalii Tanzania ni booster kubwa ya utalii wetu kwa soko la Marekani.
Chema chajiuza, kibaya chajitembeza!Takwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Ulikuwepo? Usijidanganye enzi zile utalii haikuwa issue ndiyo maana hata Tanzania ilikuwa haijulikani nje ya Afrika. Ukisema Tanzania walikuwa wanakuuliza ' jee Tanzania iko Nairobi?'. Hata mlima Kilimanjaro ulikuwa unajulikana kama ulikuwepo Kenya.enzi za rais nyerere watalii walikuwa wengi sana lakini hakukuwa na royal tour
P! Yale makubaliano ya1998 kurusha ndege direct US to TZ tumefika wapi?Kwanza nafurahi as days go on, hata katika pen names tunaanza kufahamiana professionals, mfano leo ndio nimejua kuwa kumbe Mkuu Ng'wanamangilingili ni mtu wa tourism sector. The Asian tourist are stingy sana, European are spenders and the American are the richest and spends like nothing, hivyo the royal tour itawafungualia Americans soko la Tanzania.
Opening up ni kwa new markets.Ukweli mtupu, Asilimia kubwa ya watalii wetu ni kutoka Europe, Binafsi imenishangaza sana kwenye kufanya shobo U.S
takwimu kwa huo ujinga ulioandika? kwani lazima approaches zifanane? utakuwa sio mzima wewe.Weka takwimu punguza povu
Mwijaku anafaa kuwa Ambassador