Dubai walifanya Royal Tour lini? Wapi?

Kama hauna hoja ni vyema ukaiacha Post ipite.
Wewe ni mmoja wa wanaoiona filamu hiyo ni mkombozi kwenye utalii, ni kujidanganya.
tatizo una upeo mdogo sana. kuna vitu vidogo sana unashindwa kung'amua. kama Dubai wametumia njia fulani sio lazima na sisi tutumie hiyo hiyo. wakati mwengine mazingira hayafanani na mahitaji ya wakati pia. Royal tour ni kwa mazingira yetu. kagame yeye kafanya royal tour na bado anatumia akina messi. usikariri.
 
Takwimu toka Idara ya Utalii Dubai unaonyesha kwa mwaka 2019 tu Jiji la Dubai pekee lilipokea watalii yapata milioni 16.
SWALI: wao walifanya Movie ya Royal tour lini?
Muulize dada yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…