Tetesi: Dube amesaini Yanga tayari

Atapigwa upofu lango hataliona... 😊 😊 😊 😊 😊
mmeshindwa kumloga Azizi ki kila mechi lazima awaweke mtamuweza dube ambaye kila gemu lazima awaweke kutoa azam
 
mmeshindwa kumloga Azizi ki kila mechi lazima awaweke mtamuweza dube ambaye kila gemu lazima awaweke kutoa azam
Atapigwa upofu na atakakuwa anashindana nao namba pale utopoloni.
 
mmeshindwa kumloga Azizi ki kila mechi lazima awaweke mtamuweza dube ambaye kila gemu lazima awaweke kutoa azam
Hatuna shida na Azizi kiii..yy alitoka kwao akaja kucheza Yanga shida ni huyo anaeruka ruka hao dawa yao ni kupigwa tuu upofu...
 
Kwani kule kwenye ice cream kashakubaliwa kuvunja tayari?
Mkataba wake ulifanyika kishikaji haukufata kanuni za TFF hivyo ni wazi Azam wanapoteza muda watashindwa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…