Dube na Aziz Ki kuanza kutupia magoli. Wazee wameshamwelekeza Dube na kumtengeneza

Dube na Aziz Ki kuanza kutupia magoli. Wazee wameshamwelekeza Dube na kumtengeneza

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Wanayanga sasa andaeni furaha... Na kububujikwa na machozi ya furaha. Mtafurahi nyie.... We acheni tu.

Muda huu tunamalizia kumtengeneza Dube na mwenzie Aziz Ki. Kisha na Chama naye kesho zamu yake na mwenzie Baleke. Hawa jamaa watatupia magoli mpaka amshangae. Lazima wafungaji bora wawili watokee hapa. Ni wao tu kufuata masharti.

Dube ubishi ndo ulikuwa unamponza. Akina Mudathir wamemueleza umuhimu wa kusikiliza ushauri wa kitaalamu. Asiache mikia kumsanifu kila wakati. Katengenezwa. Sasa akielekeza tu mpira golini. Imo..... Chuma, waya. Batalokota kunyavu benyewe.

YANGA ITACHUKUA UBINGWA PIGA UA. GALAGAZA,PONDA PONDA. MSAHAU YANGA KUFUNGWA. NA KMC WAMETUPA UWANJA NA KUKUBALI MAAHARTI YETU. ATALIA MTU VIBAYA.
 
Kama ulieandika huu uzi ndio upo kwenye ilo jopo la kilonzi basi ubingwa msahau.
 
Hilo la kutengeneza wachezaji ni kweli kabisa jamaa wanafanya.

Niliwahi ambiwa kuwa wanakawaida ya kununuwa wachezaji wa kawaida ila huwa wanawatengeneza.
 
Usiku mwingi na shughuli gizani.
Kazi kwelikweli.
 
Wanayanga sasa andaeni furaha... Na kububujikwa na machozi ya furaha. Mtafurahi nyie.... We acheni tu.

Muda huu tunamalizia kumtengeneza Dube na mwenzie Aziz Ki. Kisha na Chama naye kesho zamu yake na mwenzie Baleke. Hawa jamaa watatupia magoli mpaka amshangae. Lazima wafungaji bora wawili watokee hapa. Ni wao tu kufuata masharti.

Dube ubishi ndo ulikuwa unamponza. Akina Mudathir wamemueleza umuhimu wa kusikiliza ushauri wa kitaalamu. Asiache mikia kumsanifu kila wakati. Katengenezwa. Sasa akielekeza tu mpira golini. Imo..... Chuma, waya. Batalokota kunyavu benyewe.

YANGA ITACHUKUA UBINGWA PIGA UA. GALAGAZA,PONDA PONDA. MSAHAU YANGA KUFUNGWA. NA KMC WAMETUPA UWANJA NA KUKUBALI MAAHARTI YETU. ATALIA MTU VIBAYA.
Mliambiwa mapema hao wazee hawawezi kucheza dk 90 mkabisha mkawasajili. Sasa pumzi imekata mnaanza kuwapa majini yawasaidie!
Majini hayasaidii uwanjani labda myatume yawe chuma ulete yatembeze bakuli.
 
Wanayanga sasa andaeni furaha... Na kububujikwa na machozi ya furaha. Mtafurahi nyie.... We acheni tu.

Muda huu tunamalizia kumtengeneza Dube na mwenzie Aziz Ki. Kisha na Chama naye kesho zamu yake na mwenzie Baleke. Hawa jamaa watatupia magoli mpaka amshangae. Lazima wafungaji bora wawili watokee hapa. Ni wao tu kufuata masharti.

Dube ubishi ndo ulikuwa unamponza. Akina Mudathir wamemueleza umuhimu wa kusikiliza ushauri wa kitaalamu. Asiache mikia kumsanifu kila wakati. Katengenezwa. Sasa akielekeza tu mpira golini. Imo..... Chuma, waya. Batalokota kunyavu benyewe.

YANGA ITACHUKUA UBINGWA PIGA UA. GALAGAZA,PONDA PONDA. MSAHAU YANGA KUFUNGWA. NA KMC WAMETUPA UWANJA NA KUKUBALI MAAHARTI YETU. ATALIA MTU VIBAYA.
Usije kukimbia Uzi kama mhasibu wa makolo.
 
Mliambiwa mapema hao wazee hawawezi kucheza dk 90 mkabisha mkawasajili. Sasa pumzi imekata mnaanza kuwapa majini yawasaidie!
Majini hayasaidii uwanjani labda myatume yawe chuma ulete yatembeze bakuli.
Yatachuma magoli na kuleta jangwani.
 
Mliambiwa mapema hao wazee hawawezi kucheza dk 90 mkabisha mkawasajili. Sasa pumzi imekata mnaanza kuwapa majini yawasaidie!
Majini hayasaidii uwanjani labda myatume yawe chuma ulete yatembeze bakuli.
Wewe mbona ni mzee lakini bado uko na mke wako? Au na wewe unyang’anywe kwa kuwa ni mzee pumzi imekata?
 
Wanayanga sasa andaeni furaha... Na kububujikwa na machozi ya furaha. Mtafurahi nyie.... We acheni tu.

Muda huu tunamalizia kumtengeneza Dube na mwenzie Aziz Ki. Kisha na Chama naye kesho zamu yake na mwenzie Baleke. Hawa jamaa watatupia magoli mpaka amshangae. Lazima wafungaji bora wawili watokee hapa. Ni wao tu kufuata masharti.

Dube ubishi ndo ulikuwa unamponza. Akina Mudathir wamemueleza umuhimu wa kusikiliza ushauri wa kitaalamu. Asiache mikia kumsanifu kila wakati. Katengenezwa. Sasa akielekeza tu mpira golini. Imo..... Chuma, waya. Batalokota kunyavu benyewe.

YANGA ITACHUKUA UBINGWA PIGA UA. GALAGAZA,PONDA PONDA. MSAHAU YANGA KUFUNGWA. NA KMC WAMETUPA UWANJA NA KUKUBALI MAAHARTI YETU. ATALIA MTU VIBAYA.
Kujinasibu kwa uchawi sio sifa bali ni upumbavu.
Unasajili mchezaji kwa pesa nyingi halafu ili afunge unampa usaidizi wa majini! Hii ni ajabu sana
 
Timu ya wachawi.

Kocha mchawi.

Wachezaji wachawi.

Mashabiki wachawi.

Uchawi,uchawi,uchawi,uchawi kila sehemu.
 
Mliambiwa mapema hao wazee hawawezi kucheza dk 90 mkabisha mkawasajili. Sasa pumzi imekata mnaanza kuwapa majini yawasaidie!
Majini hayasaidii uwanjani labda myatume yawe chuma ulete yatembeze bakuli.
tulia kijana
 
Kila mwa utopolo atachanganyikiwa kwa muda wake mwaka huu...
 
Kweli ndio maana mzize alimfunga ali salum naamini mganga sio tapeli.
 
Back
Top Bottom