Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Wanayanga sasa andaeni furaha... Na kububujikwa na machozi ya furaha. Mtafurahi nyie.... We acheni tu.
Muda huu tunamalizia kumtengeneza Dube na mwenzie Aziz Ki. Kisha na Chama naye kesho zamu yake na mwenzie Baleke. Hawa jamaa watatupia magoli mpaka amshangae. Lazima wafungaji bora wawili watokee hapa. Ni wao tu kufuata masharti.
Dube ubishi ndo ulikuwa unamponza. Akina Mudathir wamemueleza umuhimu wa kusikiliza ushauri wa kitaalamu. Asiache mikia kumsanifu kila wakati. Katengenezwa. Sasa akielekeza tu mpira golini. Imo..... Chuma, waya. Batalokota kunyavu benyewe.
YANGA ITACHUKUA UBINGWA PIGA UA. GALAGAZA,PONDA PONDA. MSAHAU YANGA KUFUNGWA. NA KMC WAMETUPA UWANJA NA KUKUBALI MAAHARTI YETU. ATALIA MTU VIBAYA.
Muda huu tunamalizia kumtengeneza Dube na mwenzie Aziz Ki. Kisha na Chama naye kesho zamu yake na mwenzie Baleke. Hawa jamaa watatupia magoli mpaka amshangae. Lazima wafungaji bora wawili watokee hapa. Ni wao tu kufuata masharti.
Dube ubishi ndo ulikuwa unamponza. Akina Mudathir wamemueleza umuhimu wa kusikiliza ushauri wa kitaalamu. Asiache mikia kumsanifu kila wakati. Katengenezwa. Sasa akielekeza tu mpira golini. Imo..... Chuma, waya. Batalokota kunyavu benyewe.
YANGA ITACHUKUA UBINGWA PIGA UA. GALAGAZA,PONDA PONDA. MSAHAU YANGA KUFUNGWA. NA KMC WAMETUPA UWANJA NA KUKUBALI MAAHARTI YETU. ATALIA MTU VIBAYA.