Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Prince Mpumelelo Dube mpaka sasa hajaonesha makali yaliyotegemewa wakati anajasajiliwa Yanga.
Dube amezungukwa na wachezaji wazuri ila magoli kafunga machache sana mpaka sasa.
Wakati Ateba kaja juzi ni mashine na gumzo la nchi.
Tunaanza kumjadili saa ngapi huyu Dube kama garasa pale Jangwani?
Dube amezungukwa na wachezaji wazuri ila magoli kafunga machache sana mpaka sasa.
Wakati Ateba kaja juzi ni mashine na gumzo la nchi.
Tunaanza kumjadili saa ngapi huyu Dube kama garasa pale Jangwani?