Dube wa Yanga ni garasa shtukeni

Dube wa Yanga ni garasa shtukeni

Prince Mpumelelo Dube mpaka sasa hajaonesha makali yaliyotegemewa wakati anajasajiliwa Yanga.

Dube amezungukwa na wachezaji wazuri ila magoli kafunga machache sana mpaka sasa.

Wakati Ateba kaja juzi ni mashine na gumzo la nchi.

Tunaanza kumjadili saa ngapi huyu Dube kama garasa pale Jangwani?
IMG_4071.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Back
Top Bottom