Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Labda kafungiwa ndani ana jambo lake kamati ya uchawi Makolo FC.Hivi ndugu Genta yuko wapi siku hizi? Sijaona nyuzi zake za "mganga ametaka mkojo wa nyoka, mate ya mamba n.k
Hata kama asipofunga hawezi kuwa garasa wakati ndio kwanza Yanga imecheza michezo minne na wa tarehe 19 ndio mchezo wa 5 bado mechi nyingi sana zimebaki. Kwani Dube tokea ajiunge Yanga hajafunga? Si kafunga magoli sasa jichanganyeni tu maana hakuna kitu Dube yupo addicted nacho kama kuifunga Simba.Ngoja tuangalie gemu ya ligi inayofuata jmosi,,asipo funga tunamuuza kwenda Moro United
KwikwikwikwiWanasema atafunga Kwenye Derby ya jmos...muwe na subra....πππ
Wengine mpira achaneni nao? Kama Yanga wangekuwa na akili za kukurupuka Aziz wangemwacha msimu wa kwanza. Dube hali anayo ipitia ya mpito.Prince Mpumelelo Dube mpaka sasa hajaonesha makali yaliyotegemewa wakati anajasajiliwa Yanga.
Dube amezungukwa na wachezaji wazuri ila magoli kafunga machache sana mpaka sasa.
Wakati Ateba kaja juzi ni mashine na gumzo la nchi.
Tunaanza kumjadili saa ngapi huyu Dube kama garasa pale Jangwani?
Ateba huyuhuyu anaelingana goli na beki wa Yanga Ibra Bacca.. na hapo Bacca hana goli la penati...Prince Mpumelelo Dube mpaka sasa hajaonesha makali yaliyotegemewa wakati anajasajiliwa Yanga.
Dube amezungukwa na wachezaji wazuri ila magoli kafunga machache sana mpaka sasa.
Wakati Ateba kaja juzi ni mashine na gumzo la nchi.
Tunaanza kumjadili saa ngapi huyu Dube kama garasa pale Jangwani?