DUCE kwa fukuta maandamano

DUCE kwa fukuta maandamano

Lenin V.I.U

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2014
Posts
218
Reaction score
62
Wanafunzi wa chuo kikuu kishiriki cha elimu dar es salaam, wameanza vugu vugu la maandamano kuishinikiza bodi ya mikopo kuwapa fedha zao za mazoezi kwa vitendo(field) wanafunzi hao wamesema chuo kinafunga ijumaa ya tarehe 4/7/14 wakati wengine wameshamaliza mitihani lakini hakuna dalili zozote za kusain iyo fedha. Aidha wame mshutumu rais wao wa serikali ya wanafunzi DARUSO-DUCE kuwa ni mamluki na amekaa kimya kwa maslahi ya watawala. NAWASILISHA
 
Wanafunzi wa chuo kikuu kishiriki cha elimu dar es salaam, wameanza vugu vugu la maandamano kuishinikiza bodi ya mikopo kuwapa fedha zao za mazoezi kwa vitendo(field) wanafunzi hao wamesema chuo kinafunga ijumaa ya tarehe 4/7/14 wakati wengine wameshamaliza mitihani lakini hakuna dalili zozote za kusain iyo fedha. Aidha wame mshutumu rais wao wa serikali ya wanafunzi DARUSO-DUCE kuwa ni mamluki na amekaa kimya kwa maslahi ya watawala. NAWASILISHA
DUCE ipi unayoitolea taarifa,mimi nipo duce hapa sioni hata dalili hizo.
 
Ikifika jumatano lazima tukinukishe tu maana sababu hizi ni uongo tu..mbona main campus wamesign kuanzia leo
 

Attachments

  • 1404160640772.jpg
    1404160640772.jpg
    72 KB · Views: 84
Polen.. chuon kwetu tushasign na wthn a week tuliyo sign tukaingiziwa pesa.polen thanaaaaaa
 
Wanafunzi wa chuo kikuu kishiriki cha elimu dar es salaam, wameanza vugu vugu la maandamano kuishinikiza bodi ya mikopo kuwapa fedha zao za mazoezi kwa vitendo(field) wanafunzi hao wamesema chuo kinafunga ijumaa ya tarehe 4/7/14 wakati wengine wameshamaliza mitihani lakini hakuna dalili zozote za kusain iyo fedha. Aidha wame mshutumu rais wao wa serikali ya wanafunzi DARUSO-DUCE kuwa ni mamluki na amekaa kimya kwa maslahi ya watawala. NAWASILISHA

Vipi, Mbowe atakuwepo?
 
Back
Top Bottom