Dude akiri kubebeshwa madawa ya kulevya

Mwongo. Kama alikubebesha bila kujua alikuwa na sababu gani kufungua mbele yako ili ujue? Ili ukamshtaki ? Ili akulipe hela? Uongo mwingine wa kitoto sana....

Polisi wamesoma hiyo confession yake lakini bado wanamwacha ,wamchukue akaandike maelezo na afanyiwe uchunguzi
 
man made stories....

bongo movie kwa sasa hailipi... wanatafuta njia nyingine ya kusaka umaarufu na attention kutoka kwa watu wasiotaka kuwasikia..
 
Hii Tanzania, kama watu walikwapua hela wakaambiwa warudishe sembuse huyu, btw itakuwa labda new ideas ya Bongo darisalam season 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…