Oii Oiii Oiiiiiiii nimekupata Beira BoyWouzaaaah my name si Beira boy, nanyupu boy , London boy, black England
Lava lava yupo,anakimbiza saaaana Go GAGA.Hivi lava lava aliishiaga wapi?achilia mbali ushindani wa mboso na aslay
Chakuma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aman iwe juu yenu wakuu
Kwanza tunaanza na salam
Konk konk konk master yes ni konk tena kuiteka dunia jamaa kaja na bonge la pin ambalo kamshilikisha rayvany. Goma ni sumu sana ngoma haijaachiwa bado lakin kwa jinsi nilivyoisikiliza hii pin ni Kali kushinda la nyegez , pin hili nimelisikiliza Jana studio nilipokuwa nimeenda kuchukua ngoma Yangu
Stay tune goma linakuja
Kwa wale wasiomjua dudu baya. Dudu baya ni msanii na mwenyeketi wa CHAKUMA. CHAKUMA ni nini CHAKUMA. ni chama cha kupambana na machoko
LONDON BOYView attachment 943103
Si nikama sisi tusio weka nuktaWanaochanganya L na R sijui huwa wana akili gani
Aman iwe juu yenu wakuu
Kwanza tunaanza na salam
Konk konk konk master yes ni konk tena kuiteka dunia jamaa kaja na bonge la pin ambalo kamshilikisha rayvany. Goma ni sumu sana ngoma haijaachiwa bado lakin kwa jinsi nilivyoisikiliza hii pin ni Kali kushinda la nyegez , pin hili nimelisikiliza Jana studio nilipokuwa nimeenda kuchukua ngoma Yangu
Stay tune goma linakuja
Kwa wale wasiomjua dudu baya. Dudu baya ni msanii na mwenyeketi wa CHAKUMA. CHAKUMA ni nini CHAKUMA. ni chama cha kupambana na machoko
LONDON BOYView attachment 943103
Beat yenyewe haijajaa hiyoMe mwenyewe ni Music producer, beats Maker. Bt humu huyu dudubaya kaimba utumbo mtupu waangalie wasiharibu jina la S2kz baada ya kutoka switch. Bali wafanye hits zitakazoendelea kumuweka producer huyo katika chat yake.