Dudu baya ala shavu afanya bonge la ngoma na layvany wa WCB

Dudu baya ala shavu afanya bonge la ngoma na layvany wa WCB

Hivi lava lava aliishiaga wapi?achilia mbali ushindani wa mboso na aslay
 
Me mwenyewe ni Music producer, beats Maker. Bt humu huyu dudubaya kaimba utumbo mtupu waangalie wasiharibu jina la S2kz baada ya kutoka switch. Bali wafanye hits zitakazoendelea kumuweka producer huyo katika chat yake.
 
Aman iwe juu yenu wakuu

Kwanza tunaanza na salam

Konk konk konk master yes ni konk tena kuiteka dunia jamaa kaja na bonge la pin ambalo kamshilikisha rayvany. Goma ni sumu sana ngoma haijaachiwa bado lakin kwa jinsi nilivyoisikiliza hii pin ni Kali kushinda la nyegez , pin hili nimelisikiliza Jana studio nilipokuwa nimeenda kuchukua ngoma Yangu

Stay tune goma linakuja

Kwa wale wasiomjua dudu baya. Dudu baya ni msanii na mwenyeketi wa CHAKUMA. CHAKUMA ni nini CHAKUMA. ni chama cha kupambana na machoko


LONDON BOYView attachment 943103
Chakuma?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aman iwe juu yenu wakuu

Kwanza tunaanza na salam

Konk konk konk master yes ni konk tena kuiteka dunia jamaa kaja na bonge la pin ambalo kamshilikisha rayvany. Goma ni sumu sana ngoma haijaachiwa bado lakin kwa jinsi nilivyoisikiliza hii pin ni Kali kushinda la nyegez , pin hili nimelisikiliza Jana studio nilipokuwa nimeenda kuchukua ngoma Yangu

Stay tune goma linakuja

Kwa wale wasiomjua dudu baya. Dudu baya ni msanii na mwenyeketi wa CHAKUMA. CHAKUMA ni nini CHAKUMA. ni chama cha kupambana na machoko


LONDON BOYView attachment 943103


Duuuh!!! iko chama kinaitwajeee??!!
 
Yaani we jamaa unaweza kuandika vanny lakini Ray inakushinda? Mbona unanidondosha mwanangu?
 
Me mwenyewe ni Music producer, beats Maker. Bt humu huyu dudubaya kaimba utumbo mtupu waangalie wasiharibu jina la S2kz baada ya kutoka switch. Bali wafanye hits zitakazoendelea kumuweka producer huyo katika chat yake.
Beat yenyewe haijajaa hiyo
 
Back
Top Bottom