Dudu Baya amshusha kwenye gari na kisha kumkaba Saimon Mkondya (Mr Manguruwe)

Dudu Baya amshusha kwenye gari na kisha kumkaba Saimon Mkondya (Mr Manguruwe)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hivi huyu Manguruwe ni nani na katokea wapi? lengo lake nini?

Leo kakutana na kipondo cha Dudu baya kwa madai ya kumkashifu.

Screenshot_2024-07-19-17-26-21-1.png


---​
Siku chache baada ya mfanyabiashara na mmiliki wa mradi wa kijiji cha nguruwe, Saimon Mkondya kumsemea mbovu msanii mkongwe nchini Dudubaya, msanii huyo amemtimbia na kulianzisha.

Dudubaa amemvaa Mr Manguruwe na kumshusha kwenye gari lake kisha kumkaba koo akidai kwamba amemdhalilisha kwa kutaka kumuajiri kusafisha mabanda ya nguruwe.
 
Mr nguruwe ni matapeli kama wale mr kuku. Kutokana watanzania wengi ufahamu wa uwekezaji ulivyo ndivyo fursa za matapeli wanavotumia kujipatia mfano leo kuna hawa godlove, freemason sijui iliuminat
Yes jamaa ni Tapeli mkubwa sana ,ameshawatapeli sana kwenye VANILA ,sasa ameingia kwenye nguruwe ,anawalipa wasaniii wamtangaze ,hata huyo dudubaya kala mpunga wake kwa hiyo FUTUHI.
 
Back
Top Bottom