mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sio magoma fc ndo manguruweManguruwe ni Makolo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio magoma fc ndo manguruweManguruwe ni Makolo
Hapana, Hata Mzee Manguruwe mwenyewe alisema anataka kubadilisha jina la Simba FC a.k.a Makolo FC liwe MANGURUWE FCSio magoma fc ndo manguruwe
Sasa anatafuta kiki na trending kwa nguvu ili awapige wajinga tena hana lolote. Anataka arudi kivingine awalize watu.Huyo ni tapeli wa vanila kapiga watu Arusha na njombe na zanzibar, na kwakua watanzania ni wajinga wataendelea kupigwa, hana tofauti na Mr. Kuku,
Sawa.mzee magoma yupo na timu sauzi huko.Hapana, Hata Mzee Manguruwe mwenyewe alisema anataka kubadilisha jina la Simba FC a.k.a Makolo FC liwe MANGURUWE FC
Mental caseHivi huyu Manguruwe ni nani na katokea wapi? lengo lake nini?
Leo kakutana na kipondo cha Dudu baya kwa madai ya kumkashifu.
Siku chache baada ya mfanyabiashara na mmiliki wa mradi wa kijiji cha nguruwe, Saimon Mkondya kumsemea mbovu msanii mkongwe nchini Dudubaya, msanii huyo amemtimbia na kulianzisha.
Dudubaa amemvaa Mr Manguruwe na kumshusha kwenye gari lake kisha kumkaba koo akidai kwamba amemdhalilisha kwa kutaka kumuajiri kusafisha mabanda ya nguruwe.
Sawa, acha akawaangalie Mabingwa wakichezaSawa.mzee magoma yupo na timu sauzi huko.
Mabalozi wa nyumba kumiNdio wakina nani hao uko mjini kwenu dar
Nchi hii ina mazoba wengi sanaMtanzania amka hakuna atakayekutafutia pesa akupe faida, inuka na kapambane mwenyewe achaneni na hawa matapeli
Nchi sahvi kuna mijitu sijui imetokea wapiYes jamaa ni Tapeli mkubwa sana ,ameshawatapeli sana kwenye VANILA ,sasa ameingia kwenye nguruwe ,anawalipa wasaniii wamtangaze ,hata huyo dudubaya kala mpunga wake kwa hiyo FUTUHI.
Mazoba ni wengi mnoNchi hii ina mazoba wengi sana
Ova
kapafoma...mambaaaaOil chafu, conk conk conk
🤔🤔🤔🤔Aisee noma
Umasikini huwa unaambatana na ukichaa...sasa kuambiwa atapewa ajira ndio akamkabe mwajiri mtarajiwa!?Dudubaa amemvaa Mr Manguruwe na kumshusha kwenye gari lake kisha kumkaba koo akidai kwamba amemdhalilisha kwa kutaka kumuajiri kusafisha mabanda ya nguruwe.
Nchi sahvi kuna mijitu sijui imetokea wapi
Ova