Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyo ni tapeli wa vanila kapiga watu Arusha na njombe na zanzibar, na kwakua watanzania ni wajinga wataendelea kupigwa, hana tofauti na Mr. Kuku,
Haha vitanunuliwa sanaAnakuambia Vichwa vya Nguruwe vinaongeza Nguvu za kiume
Manguruwe ni Makolo
Yes jamaa ni Tapeli mkubwa sana ,ameshawatapeli sana kwenye VANILA ,sasa ameingia kwenye nguruwe ,anawalipa wasaniii wamtangaze ,hata huyo dudubaya kala mpunga wake kwa hiyo FUTUHI.Mr nguruwe ni matapeli kama wale mr kuku. Kutokana watanzania wengi ufahamu wa uwekezaji ulivyo ndivyo fursa za matapeli wanavotumia kujipatia mfano leo kuna hawa godlove, freemason sijui iliuminat