Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Msanii rapa kutoka pande za mwanza mwanza godfrey tumain makoye DUDU BAYA amemuonya vikali msanii kutoka pande za mazense emmanuel eribalik NEY WA MITEGO kuwa aache mara moja kujilinganisha na mkali kutoka sala sala king zila kwa kuwa hana uwezo wa kumifikia mkali huyo wa sala sala
Dudu alienda mbali zaid na kudai kuwa ney wa mitego siyo msanii wa hip hop na hajui kutunga na kuimba nyimbo za hiphop dudu kadai ney anasubiri watu wapambane kwa nguvu zao wawe marufu kisha yeye aje awaimbe ndo apate kura hivyo hana mashair yoyote yale na hajui mziki
Dudu aliendelea kudai na kumfagilia zaid god zila kuwa ni msanii mkali sana na ndo msanii kati ya wasanii wachache wanaoimba hip hop yenyewe hivyo ney atulize puch yake wanaume waimbe real hiphop
Nawasilisha
Mbalikiwe sana katika bwana wapendwa wa mungu..
LONDON BABY
Dudu alienda mbali zaid na kudai kuwa ney wa mitego siyo msanii wa hip hop na hajui kutunga na kuimba nyimbo za hiphop dudu kadai ney anasubiri watu wapambane kwa nguvu zao wawe marufu kisha yeye aje awaimbe ndo apate kura hivyo hana mashair yoyote yale na hajui mziki
Dudu aliendelea kudai na kumfagilia zaid god zila kuwa ni msanii mkali sana na ndo msanii kati ya wasanii wachache wanaoimba hip hop yenyewe hivyo ney atulize puch yake wanaume waimbe real hiphop
Nawasilisha
Mbalikiwe sana katika bwana wapendwa wa mungu..
LONDON BABY