Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Huyu anajitambua great Dudubaya....wachache sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huna akili? Haki, sio, lazima, upewe, au uambiwe hizi, ni, haki zako, unazaliwa, unazijua, swala, gumu ni kuzidaiAkizungumza kwenye moja ya blog za mitandaoni msanii huyo mkongwe amesema kuwa inayoitwa amani tuliyonayo Tanzania ni kwa vile tu wananchi wamenyimwa elimu ya haki zao.
Amesema kwa mtanzania akiwasha runinga akaona kipindi kinaongelea mambo ya katiba anahamisha hiyo chanel haraka sana atatafuta mipira au mziki ama tamthilia ila kuongelea mambo yanayohusu mustakabali wa maisha yao wanaona hayawahusu.
Amesema hicho ndo tunatofautiana na jirani zetu kwa wenzetu asilimia kubwa ya raia wanaelewa haki zao hivyo ikitokea zinachezewa hawataki masihara kabisa.
Wewe ndio hujaelewa mada kabisa kama ingekuwa ni mtihani wa shule ungepata 0% au 10%.Hajui sisi Watanzania tunaakili
Huwa hatupambanii mtu angie madrakani
Hao nirani zetu ni mazezeta tu
Uwezo wa kujua ya jayo hawana
Mm siwezi kuandamana eti mtu fulani awe kiongozi ni unwege