Dudu Baya na Jukwaa..

Dudu Baya na Jukwaa..

Mkuu Sikonge ukiangalia hiyo mashine anayotumia Mika ni kama hii au ni tofauti?



Mami Ng'wanza Madaso,

Hilo limtambo ni very Old school. Mwanzo niliandika kwa kufikiria mtambo mwingine kabisa. Ila huu wa Mika Mwamba naona nao ni mpya. NUMARK wametoa mashine tatu MPYA za aina hii sasa hivi. Angalia kwenye site yao: http://www.numark.com/computerdjvj

Na hapo angalia hizi mashine zao Mpya yaani : NS7 (Numark & Serato wameshirikiana), Stealth Control na Omni Control. Ukiangalia Picha utaona kuwa Mwamba anatumia Omni Control. Ila wanadai Stealth Control ni heavy duty ambayo waweza kutumia hadi Studio


url


url
 
Back
Top Bottom