Galadudu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 2,304
- 773
Alipozaliwa wazazi wake wakamwita Godfrey William Tumain.......
Baadae sasa akaanza kujipachika majina ya ajabu ajabu tu......mara:- Ngumi jiwe....akaibuka na jina lingine....Mapafu ya mbwa.....Kapafona.......No dafa.......Voti mia.......lakin jina lililoyabeba yote hayo ni DUDU BAYA.....hivi aliishia wapi huyo jamaa?
Baadae sasa akaanza kujipachika majina ya ajabu ajabu tu......mara:- Ngumi jiwe....akaibuka na jina lingine....Mapafu ya mbwa.....Kapafona.......No dafa.......Voti mia.......lakin jina lililoyabeba yote hayo ni DUDU BAYA.....hivi aliishia wapi huyo jamaa?