Dudu baya yupo wapi siku hizi?

Galadudu

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
2,304
Reaction score
773
Alipozaliwa wazazi wake wakamwita Godfrey William Tumain.......
Baadae sasa akaanza kujipachika majina ya ajabu ajabu tu......mara:- Ngumi jiwe....akaibuka na jina lingine....Mapafu ya mbwa.....Kapafona.......No dafa.......Voti mia.......lakin jina lililoyabeba yote hayo ni DUDU BAYA.....hivi aliishia wapi huyo jamaa?
 

Muulize mama yake mzazi atakujibu
 
Kama haujui ungenyamaza nn ambacho kingepungua kwako
 
kwanza atuambie alitoa wapi sare yetu ya Jeshi la Wakurya Toka Zamani??


 
Kama miaka mi3 hivi imepita , nilimuona huyu jamaa mitaa ya lumumba, yupo yupo tu anazurura mtaani, kajigongea kata k*** ya kufa mtu na t-shirt inachapa ya sura yake kaprint maneno-"long-living veteran"
 

dudu zuri...!
 
Wiki iliyopita alikutwa anamlawiti kijana mmoja. Amekuwa mtu wa madawa kama tid, anapiga piga watu ovyo. Hana kazi
 
Alimkata mama yake sikio akakimbilia Dsm,kalelewa na mwanamke alipochokwa akaonyeshwa mlango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…