Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakishafilisika ndio wanamkumbuka.MunguLeo kwenye ibada ya Kawe kanisani kwa Mwamposa jamaa kaonekana kwenye TV akitubishwa.
Ni hatua njema kwa Godfrey Tumaini.View attachment 2838963
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaItakua Mara ya pili Sasa anaokoka upya[emoji28]
Kuokoka kwenyewe kwa Mwamposa??No sio kweli, Dudubaya kaokoka kwa sababu anaumwa sana
Matapeli tu haoWasanii wawili wamekutana
[emoji1787]Aaaaaiiiiieeeemmm koonki koonki koonki master yu panchi mi wansi ai panchi yu tripo
Asiyejulikana na nani?KWA MUNGU ASIEJULIKANA
Wewe hutaki hela?Vina muda basi huyo mwamposa akiacha kumpa hela,jamaa anaropoka yote
Duh! Anaumwa nini mkuu?No sio kweli, Dudubaya kaokoka kwa sababu anaumwa sana
Umenikumbusha mbali sana huku Marumba Kule Half London [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilikutana nae marumba bar kakola anamix konyagi na safari lager [emoji2][emoji2]
Unataka kumchangia?Anaumwa nn jmn
Afya ya akiliLeo kwenye ibada ya Kawe kanisani kwa Mwamposa jamaa kaonekana kwenye TV akitubishwa.
Ni hatua njema kwa Godfrey Tumaini.View attachment 2838963
Sent using Jamii Forums mobile app
Njema mnoo...Leo kwenye ibada ya Kawe kanisani kwa Mwamposa jamaa kaonekana kwenye TV akitubishwa.
Ni hatua njema kwa Godfrey Tumaini.View attachment 2838963
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri aanza na CMG kwanza.,Akatubu ha kumwomba msamaha Lucas Mkenda kwenza.