digalangosha
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 1,572
- 2,286
April fools, konk haombi msamahaKupitia ukurasa wake wa Instagram, Godfrey Willium Ngelela a.k.a Dudubaya amepost video akiwaomba radhi watanzania wote, baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pamoja na familia ya Ruge.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1059752
Kwakweli mimtu inakimbilia ku_comment tu bila hata kutazama kideoWajinga wote leo ni sikukuu yenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu kwani rizki yake ya kila siku anaipata vipi?Achape kazi ipi? Ulevi mbwa, kutukana watu na kuvuta bangi ndio kuchapa kazi!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Godfrey Willium Ngelela a.k.a Dudubaya amepost video akiwaomba radhi watanzania wote, baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pamoja na familia ya Ruge.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1059752
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Godfrey Willium Ngelela a.k.a Dudubaya amepost video akiwaomba radhi watanzania wote, baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pamoja na familia ya Ruge.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1059752
Huo msamaha si wa kweli maana mwishoni katibua kabisaBila shaka kuomba kwake msamaha itakua ni moja ya masharti aliyopewa na Basata ili afunguliwe usajili wake.
Huyu ni mgonjwa wa sifa hana tofauti na mzee wa kikukuAmemalizia na konki konki mamba oil chafu
Yani hana remorse, hana majuto, hata ya kujifanyisha.
Wabongo hatuna upembuzi, hatuna analytical minds za kuliona hilo, tumeridhika.
Yakitambo sana hio wakaombana ni msamaha redionHafai huyu jamaa kuna video inatembea anamtukana Msanii Shetta matusi ya nguoni.
Sent using Jamii Forums mobile app