Dudubaya aomba radhi rasmi kutokana na maneno ya kejeli aliyompa Marehemu Ruge

Dudubaya aomba radhi rasmi kutokana na maneno ya kejeli aliyompa Marehemu Ruge

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Godfrey Willium Ngelela a.k.a Dudubaya amepost video akiwaomba radhi watanzania wote, baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pamoja na familia ya Ruge.

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1059752
April fools, konk haombi msamaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Godfrey Willium Ngelela a.k.a Dudubaya amepost video akiwaomba radhi watanzania wote, baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pamoja na familia ya Ruge.

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1059752
 
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Godfrey Willium Ngelela a.k.a Dudubaya amepost video akiwaomba radhi watanzania wote, baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pamoja na familia ya Ruge.

[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 1059752
 
Amemalizia na konki konki mamba oil chafu

Yani hana remorse, hana majuto, hata ya kujifanyisha.

Wabongo hatuna upembuzi, hatuna analytical minds za kuliona hilo, tumeridhika.
 
Amemalizia na konki konki mamba oil chafu

Yani hana remorse, hana majuto, hata ya kujifanyisha.

Wabongo hatuna upembuzi, hatuna analytical minds za kuliona hilo, tumeridhika.
Huyu ni mgonjwa wa sifa hana tofauti na mzee wa kikuku
 
Back
Top Bottom