Alieandaa hilo Tangazo...eti kushirikiana na WCB[emoji3][emoji3]
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Daah [emoji23][emoji23][emoji23]Huko inaonekana kijiji kizima wametoka jela.
Hii haiwezi kuwa imeandaliwa kwa kushirikiana na wasafi maana hata poster yenyewe imetengenezwa kwenye word hata kutoa poster ya rangi wameshindwaJana nimejionea laivu alikuwa chimbo fulani alikuwa ameandaliwa kushusha mbonge la shoo katika bar fulani mkoani geita
View attachment 1531947
Mimi ni moja ya watu waliokuemo kwenye bar hiyo tukipata 1.2
Dudubaya pamoja na kuandaliwa lakini mapema tu alikua kalewa chakali yaani mpaka huruma hadi kufikia kushindwa kutumbuiza
Kingine niliona dudubaya amesha jikatia tamaa lakini bado mapema anakubalika
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti kwa mawasiliano "dhaidi"
Mimi naona aliyeandaa hilo tangazo kachoka zaidi kuliko Dudubaya.