Dudu Baya anafanyiwa interview ya nini?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dudu Baya anafanyiwa interview ya nini?
Hata mie nimeshangaa labda anataka kurudi tena kwenye game na yeye pia aseme kuwa toka ajipumzishe hakuna aliyeweza kukaa kwenye kiti chake cha ufalmeDudu Baya anafanyiwa interview ya nini?
😵 unasema kweli anafanyiwa interview?Dudu Baya anafanyiwa interview ya nini?
Hakikaa... ili iwe nini...??? thanx mkuu.Dudu Baya anafanyiwa interview ya nini?
Mimi naungana na Mwana FA dudu alichokiongea sio ubinadamu.Akiongea leo ndani ya ladha 3600 ya efm Dudu Baya amesisitiza Chidi atakiwi kusaidiwa anatakiwa aachwe ajifie ili iwe funzo kwa wasanii wengine.
Amesisitiza Chidi anatakiwa aachwe asubiri kifo kimchukue.
Mwana FA alikuwa studio akatoa comment yake kwamba Dudu ni kichaa na mjinga ndio maana anazungumza upuuzi kama huo. Watu wanafanya makosa ila atuwezi fikia kutamka maneno kama hayo kiubinadam.
Ye mwenyewe mamba sasa sijui tuwaambie wasitukananemwambie huyu Dudubaya asimtukane Mamba kabla hajavuka mto