Hakuna wa kumuweza konkSiku akifanywa vibaya msije kusema kaonewa.
Chocheeni kuni mbichi.
Butogwa anakusalimiaAmani iwe nanyi wakuu
Dudubaya ataendelea kuwa mshindi daima na hakuna wa kumzuia milele mpaka kiyama
Haogopi na ana msimamo
Kawashinda cloud media sasa anaelekea kuwashinda basata na mpaka mda huu kashampiga tatu bila January makamba
Basata achen upuuz
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhh hizi habari sijazipata,Dudubaya kamfanya nini Makamba?Amani iwe nanyi wakuu
Dudubaya ataendelea kuwa mshindi daima na hakuna wa kumzuia milele mpaka kiama.
Haogopi na ana msimamo. Kawashinda Clouds media sasa anaelekea kuwashinda BASATA na mpaka muda huu kashampiga tatu bila January makamba
BASATA acheni upuuzi
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nitagMhh hizi habari sijazipata,Dudubaya kamfanya nini Makamba?
huyu dudubaya ni loser tu atawachafua hao wajinga wenzie ila hagusi watu wanaojielewa kwasababu mtu kama huyu hakuna hata haja ya kumpeleka polisi.Konki anajua Siri za watu kibao , istoshe watu washamzoea Ila kama Una heshima yako mjin jamaa akikuchafulia anakuchafua kwel kwel , Bora umkaushie Tu , anaweza akarelease picha yako unakula jicho la mtu sa sjui nan ataonekana mwehu....
Wasafi na Clouds zote ni za kusaga,sasa mambo ya kuhujumiana yanatoka wapi?Mimi navyofahamu kuna wanasiasa nao wamegawanyika pande mbili Makamba ni mtu wa Clouds na inasemekana alikuwa anawahujumu kwa serikali Wasafi, na Kuna Kigwangwala huyu yeye ni mshikaji wa Wasafi. Hata mawaziri wa Sanaa nao mkubwa team wasafi mdogo team clouds.
Sasa dizain kama kuna kuwekeana fitna, na ile simu aliyopiga JPM juzi kuna watu walikuwa wanamalizwa pale.
Lakini Dudu baya sijajua why kaamua kumpiga January this time.
huyu dudubaya ni loser tu atawachafua hao wajinga wenzie ila hagusi watu wanaojielewa kwasababu mtu kama huyu hakuna hata haja ya kumpeleka polisi.
Ana share % ngapi? Pia nataka kujua Mondi ana hisa % ngapi?Wasafi na Clouds zote ni za kusaga,sasa mambo ya kuhujumiana yanatoka wapi?
dodge
hahah Baraka alimjibu vizuri kabisa huyu zwazwaAlimchokoza yule dogo Baraka the prince,dogo akamwambia we bro umeshapotea kitambo tu unatafuta kiki kwangu,umekalia kunywa ma konyagi mpk sauti imeisha sijui hata unaimbaga nini afu wkt ukiwa Top bora ungemsomesha mwanao Wile aje akusaidie uzeeni kana hivi,ona sasa na uzee huo unahangaika na majukwaa.
dodge
Ana share % ngapi? Pia nataka kujua Mondi ana hisa % ngapi?
Wivu ni ugonjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahah Baraka alimjibu vizuri kabisa huyu zwazwa
Haya ni Mawazo Yenu Nyinyi Washabi uchwara Mnaoendekeza U team, Wao hata hayo Mawazo hawana,.Mimi navyofahamu kuna wanasiasa nao wamegawanyika pande mbili Makamba ni mtu wa Clouds na inasemekana alikuwa anawahujumu kwa serikali Wasafi, na Kuna Kigwangwala huyu yeye ni mshikaji wa Wasafi. Hata mawaziri wa Sanaa nao mkubwa team wasafi mdogo team clouds.
Sasa dizain kama kuna kuwekeana fitna, na ile simu aliyopiga JPM juzi kuna watu walikuwa wanamalizwa pale.
Lakini Dudu baya sijajua why kaamua kumpiga January this time.