Dudubaya wewe ni mshindi daima

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Amani iwe nanyi wakuu

Dudubaya ataendelea kuwa mshindi daima na hakuna wa kumzuia milele mpaka kiama.

Haogopi na ana msimamo. Kawashinda Clouds media sasa anaelekea kuwashinda BASATA na mpaka muda huu kashampiga tatu bila January makamba

BASATA acheni upuuzi

LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Butogwa anakusalimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Konki anajua Siri za watu kibao , istoshe watu washamzoea Ila kama Una heshima yako mjin jamaa akikuchafulia anakuchafua kwel kwel , Bora umkaushie Tu , anaweza akarelease picha yako unakula jicho la mtu sa sjui nan ataonekana mwehu....
 
Mhh hizi habari sijazipata,Dudubaya kamfanya nini Makamba?
 
Konki anajua Siri za watu kibao , istoshe watu washamzoea Ila kama Una heshima yako mjin jamaa akikuchafulia anakuchafua kwel kwel , Bora umkaushie Tu , anaweza akarelease picha yako unakula jicho la mtu sa sjui nan ataonekana mwehu....
huyu dudubaya ni loser tu atawachafua hao wajinga wenzie ila hagusi watu wanaojielewa kwasababu mtu kama huyu hakuna hata haja ya kumpeleka polisi.
 
Wasafi na Clouds zote ni za kusaga,sasa mambo ya kuhujumiana yanatoka wapi?

dodge
 
Alimchokoza yule dogo Baraka the prince,dogo akamwambia we bro umeshapotea kitambo tu unatafuta kiki kwangu,umekalia kunywa ma konyagi mpk sauti imeisha sijui hata unaimbaga nini afu wkt ukiwa Top bora ungemsomesha mwanao Wile aje akusaidie uzeeni kana hivi,ona sasa na uzee huo unahangaika na majukwaa.
huyu dudubaya ni loser tu atawachafua hao wajinga wenzie ila hagusi watu wanaojielewa kwasababu mtu kama huyu hakuna hata haja ya kumpeleka polisi.

dodge
 
Tukubaliane tu siku akianza kutuchafua sie tusimtukane mana siku zote kichaa huwa haeleweki
 
hahah Baraka alimjibu vizuri kabisa huyu zwazwa
 
Alikua Anashindana nini na Clouds Mpaka Kashinda,.?

Clouds walikua Wanamjibu Au Wanaonyesha upinzani kwa icho Walichokua Wanashindani?

Uko BASATA anashindania nini?

Kwa Ushindi alioshinda dhidi ya Clouds kaingiza Sh ngapi?

Ikawaje akashindwa vita ya Kumpa Mwanae Elimu Mpaka kawa Muuza Mihogo Coco beach?
 
Haya ni Mawazo Yenu Nyinyi Washabi uchwara Mnaoendekeza U team, Wao hata hayo Mawazo hawana,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…