rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Kuuza mihogo ni kukosa elimu kumbe!Alikua Anashindana nini na Clouds Mpaka Kashinda,.?
Clouds walikua Wanamjibu Au Wanaonyesha upinzani kwa icho Walichokua Wanashindani?
Uko BASATA anashindania nini?
Kwa Ushindi alioshinda dhidi ya Clouds kaingiza Sh ngapi?
Ikawaje akashindwa vita ya Kumpa Mwanae Elimu Mpaka kawa Muuza Mihogo Coco beach?
Sent using Jamii Forums mobile app