Dudubaya wewe ni mshindi daima

Kuuza mihogo ni kukosa elimu kumbe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaa et sijui nan ataonekana mwehu
Konki anajua Siri za watu kibao , istoshe watu washamzoea Ila kama Una heshima yako mjin jamaa akikuchafulia anakuchafua kwel kwel , Bora umkaushie Tu , anaweza akarelease picha yako unakula jicho la mtu sa sjui nan ataonekana mwehu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dudubaya ndo silaha ya mwisho ya diamond hivyo katumwa amalize show mapema kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huyo dogo baracka na dudu baya wanatofaut gan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dudubaya ni msema kweli daima kawambia WEUS kuwa kwa sasa msanii mkubwa pale clouds ni harmonize

Hivyo wao pamoja na Alikiba wametemwa kimtindo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pia wasafi media ni mtoto wa WCB
 
Mkuu naomba kufahamu,ushirika wa kusaga na diamond upo kwenye fm radio tu na tv?

Je wasafi company Ltd wana nini wanamiliki kama wapo wapo tofauti na kusaga!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…