Dudubaya wewe ni mshindi daima


Mama Kusaga 53%
Domo 45%
Ali khatibu 2%

Hahah kelele zote hizo za nini?

dodge
 
Wasafi na Clouds zote ni za kusaga,sasa mambo ya kuhujumiana yanatoka wapi?

dodge

Wasafi Company Ltd chini ya Diamond Platnumz na familia yake, mama, dada na watoto; (maana hakuna kampuni la mtu mmoja)
Inamiliki

1. WCB Label;
Other partiners babu tale, mkubwa fela, sallam

2. Zoom Production;
Other partiners harmonize

3. Recording studio (Wasafi Record);

4. Wasafi media;
Other partiners Juhayna Kusaga and Ali Khatib

5. Konde music (WCB Label Branch) under harmonize

etc...

Mpaka hapo sijajua kwanini kusaga anaonekana kama mmiliki wa wasafi company wakati mke wake, na si kusaga, yupo upande wa media tu
 
mtu anajua shere za Kusaga na Mondi kuliko kipato chake cha siku na matumizi yake
Haya mwangalie na mwingine hapo akijua wamiliki wote wa Kampuni za domo hapa mjini.
dodge
 
Kweli aisee,kusaga yuko njema sana huku anamiliki Wasafi Media huku Clouds Media Group apewe nini tena
Kuna watu wamechaguwa kutokuelewa,ila umechambua vizuri sana.

dodge
 
Kweli aisee,kusaga yuko njema sana huku anamiliki Wasafi Media huku Clouds Media Group apewe nini tena

dodge
Dunia ya sasa hivi ambayo risks ni nyingi huwezi kumiliki kampuni peke peke yako.

Sababu mnapokuwa wengi kama kampuni ikifail ni rahisi kuikoa kampuni na kama ikimiliwa na mtu mmoja ikitetereka basi kuna uwezekano mkubwa wa kampuni kudondoka.

Kusaga na Diamond ni sehemu ya umiliki wa Wasafi Media.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…