Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Nimefika hapa Kituo cha Polisi na kujikuta nikifarijika sana na kushtuka baada ya kumkuta Afande Chacha hapa Kaunta akiwa anasoma Biblia, nikajisikia fahari sana kuona anasoma Neno katika kituo cha Polisi.
Nikamuuliza “Afande ni nani alimuua Goliathi?” Akasema “Muulize Afande Mwita mlango namba 2 ndio anahusika na Kesi za Mauaji.”
...
Nikamuuliza “Afande ni nani alimuua Goliathi?” Akasema “Muulize Afande Mwita mlango namba 2 ndio anahusika na Kesi za Mauaji.”