Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Arabian queen

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2016
Posts
2,557
Reaction score
4,824
Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vikiwa vimekauka. Akaonja 1 akaona kitamu na kina chumvi! Akavila vyote. Alipomaliza akaangalia juu ya mlango akaona pameandikwa; "chumba cha UKEKETAJI WANAWAKE". Unafikiri atakuwa amekula nini?
 
Kwa tulio ishi vijijini maji tulikuwa tuna chota VISIM... (labda ndio atakua amekula)
 
Bora hivyo kuliko angesoma chumba cha kutairi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…