Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Nilisikitika sana kwenye Mashindano ya Under 20 kuona watu wazima ambao wengi average ya umri ni 25yrs. Ukiona hao wachezaji hafu uwapeleke kwa wanafunzi waliomaliza f6 mwaka huu utashangaa utofauti wa maumbo na ukomavu
Hata Mimi sishangai ukiangalia mashindano under 20 Kuna mibaba Kama ya over 40[emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]