Duh, eti 'No strings attached'??!!! Ya kweli haya!

Kongosho

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
35,991
Reaction score
24,211
Mara nyingi nasikia mahusiano kati ya wapenzi lakini 'no strings attached'

najaribu kuyaelewa lakini nashindwa, kwani maana yake halisi ni nini?

Inafananaje au kutofautianaje na 'sex partners'

na je unaweza kuwa kwenye mahusiano ya aina hii na kutoka ukiwa haujavunjwa moyo kweli?

Naomba mnisaidie kudadavua hii kitu.
 
hey! inahusika sana kuishi out of stress ,tatizo sasa ukute kitu mashine mnato ,gusa unase ...lol!
 
How? Inakuwaje?
Au hata wale wa kununua usiku mmoja wako category hii?

hey! inahusika sana kuishi out of stress ,tatizo sasa ukute kitu mashine mnato ,gusa unase ...lol!
 
How? Inakuwaje?
Au hata wale wa kununua usiku mmoja wako category hii?
wale wa kununua sina ujuzi nao ila hawapo kwenye hii category.....
kuna movie moja inaitwa NO STRING ATTACHED........hebu itafute utaielewa zaidi konnie
 


Mahusiano ya "No strings attached" yako hivi ....

1. Mapenzi yasiyo na commitment
2. Mahusiano yasiyo na conditions or contractual requirements.
3. Where two people decide to engage in a sexual relationship that has no ties or expectation with regards to finances, exclusivity or romance. Literally, there are no strings binding the two together

"Sex partner", mara nyingi ni bussiness oriented, nafikiri hapa lazima pesa itakutoka so kwa kiasi fulani kuna commitment fulani ....
But sometimes watu hutumia haya maneno interchangeably.

Huko kote nako tulipita tukaona hakuna maana Bwn Kongosho, wee mng'ang'anie na kum-customize huyo uliyenaye aendane na requirements zako ...

Samahani sana!
 
No strings attached ni Mahusiano ambayo ni mazuri mno. Kila mmoja anashika zake,
mahusiano yenu ni sex tu. Tatizo huja pale mafilingi yanapo ota mtu lazima aumizwe.
 
kwa vile hakuna exclusivity, ina maana mtu anaweza kuwa na mahusiano kibao ya namna hii siyo? if that is true, then the whole business is very risky
 
hakuna wivu? Hakuna kuulizana wewe uko na nani?

No strings attached ni Mahusiano ambayo ni mazuri mno. Kila mmoja anashika zake,
mahusiano yenu ni sex tu. Tatizo huja pale mafilingi yanapo ota mtu lazima aumizwe.
 
umeonaa ndio maana nimesema wakati mwingine watu wanalitumia kujipooza.......labda uwe kiumbe wa ajabu sana ambae huchagua wala hubagui.
kwa vile hakuna exclusivity, ina maana mtu anaweza kuwa na mahusiano kibao ya namna hii siyo? if that is true, then the whole business is very risky
 
@horsepower, inakuwaje ukimkuta yuko busy na mtu mwingine?
Hutakiwi kujali kabisa?

Na je inawezekana?
 
utaachaje kuchagua wala kubagua na hali mtu wamvulia nguo?

umeonaa ndio maana nimesema wakati mwingine watu wanalitumia kujipooza.......labda uwe kiumbe wa ajabu sana ambae huchagua wala hubagui.
 
achilia mbali risk ya kiafya, moyo unaweza hili??

Leo mko wote, kesho yuko busy na mwingine na hutakiwi kuuliza.

kwa vile hakuna exclusivity, ina maana mtu anaweza kuwa na mahusiano kibao ya namna hii siyo? if that is true, then the whole business is very risky
 
nitaitafuta nione kama itasaidia kuelewa hii dhana.

Asante.
wale wa kununua sina ujuzi nao ila hawapo kwenye hii category.....
kuna movie moja inaitwa NO STRING ATTACHED........hebu itafute utaielewa zaidi konnie
 
hakuna wivu? Hakuna kuulizana wewe uko na nani?


hii hufanikiwa pale wahusika wapo busy na nafasi yao ya dating ni finyu. juu ya hapo iwe kua
mwanamke ambao mara nyingi ndio wenye mioyo mwepesi awe katendwa weee hadi hana hamu tena
ya mahusiano ila ana mahitaji ya mwili. lla from no where unajiingiza katika mahusiano ya hivo? No way!
 
unaruhusiwa kuwa na 'no strings attached' partners zaidi ya mmoja?

Na ruksa wao kufahamiana?
Na wakifahamiana hawakusulubu kuwa unawacheat?

 
ndio maana nasema sio rahisi kihivo kongosho labda wengi hatuelewi maana ya neno lenyewe ingekuwa ni kitu rahisi watu wangekuwa wanawaonyesha wazi especial kama mtu wamvulia nguo inaweza ambatana na mengi zaidi ya kuvua nguo tu.
utaachaje kuchagua wala kubagua na hali mtu wamvulia nguo?
 
unaruhusiwa kuwa na 'no strings attached' partners zaidi ya mmoja?

Na ruksa wao kufahamiana?
Na wakifahamiana hawakusulubu kuwa unawacheat?

Ikiwa no strings attached ina mana hauko tayari kwa mahusiano yalo serious ama mmoja wenu ndiio hayupo tayari. Inapotokea mpo katika hayo mahusiano na tena ukawa na mahusiano mengine ina mana aidha unapenda
sana ngono au ulie nae katika mahusiano wamuhitaji nje ya tendo la ngono, maybe becoz hakuridhishi
na huyu huku ndio akuridhisha ki ngono. Ni marufuku hata watu kujua kua mna mahusiano
let alone ulo nae katika mahusiano ikiwa no strings attached.
 
duh, mfano nina 'no strings' mmoja.

Afu nikawa mahali na mtu mwingine.
Bahati mbaya akanikuta hiyo sehemu. Siku nikikutana naye in private ana haki ya kuniuliza kuwa niliyekuwa naye ni nani?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…