Duh! Kumbe Wakenya waliokamatwa upande wa Tanzania walikuwa wanawake wa jamii ya Kimaasai, ndio washachonganishwa hivi hivi

Dah! Huyo babayao255 huwa Mmaasai, siku zote nilijua Mgogo kwa namna huwa anapayuka chuki, sikujua ni mmoja wa walioathirika na huu utumwa wa kuwagawa ndugu.
Morani feki sana huyo wa kuficha ficha asili. Labda hata amechomwa alama za mviringo kwenye mashavu yote mawili na ana hadi mwanya kwenye meno. 😄
 
Mbona husikii hilo kutokea kati ya Tanzania na. Majirani wengine kama Malawi, Zambia, Uganda, Rwanda, Burundi au Msumbiji?, ninyi mnajifanya wajuaji lazima tuwakomeshe.
 
Ole wenu muwasumbue, tutawasambaratisha kwa kuwafukuza zaidi ya wakenya 500K wanaoishi Tanzania
 
Morani feki sana huyo wa kuficha ficha asili. Labda hata amechomwa alama za mviringo kwenye mashavu yote mawili na ana hadi mwanya kwenye meno. 😄
kama UKABILA NI MZURI bakini nao nyinyi kima wa mathare ila sio umepewa lift kwa Tanzania's forum unataka upige na honi kbs nyan'gau wahed nyie
 
Serikali yetu ya Tanzania inatafuta choko choko za kipumbavu sana na mataifa ya jirani na nje. Kuna baadhi ya makosa yanahitaji onyo tu, sio lazima kila kitu kufanya komoa komoa.
Acha hizo wakenya walipowakamata warombo na kuwafunga huko kwenye mpaka wa Rombo mbona hukusema mapovu yako hayo? Au watz wakikamatwa huko Kenya na kufungwa ni sawa tu!
 
Acha kulialia hilo liwe fundisho, ni lazima wafuate sheria za nchi yetu.
 
Lazima tuwashikishe adabu, wajinga sana ninyi.
Mnatushikisha adabu kwa kupiga kila mama mliomkamata faini ya shilingi 500,000 hela za madafu? Kisha mnajiona kaka sungura na eti hapo sasa ndio mmeuwaaa, wakati faini hiyo kwa KES ni shilingi 23,500 tu. Halafu kumbuka hapo mmewalisha, mkawanywesha na mkawapa hao kina mama sehemu ya mapumziko kwa siku nne! Hivi unajua wale wafugaji wa Kenya mliopiga ng'ombe wao mnada walilipwa na serikali ya Kenya fidia ya shilingi ngapi kwa kila ng'ombe aliyekamatwa? Hebu nieleze yule mwanabiashara mdogo mtanzania mliyemchomea vifaranga vyake, kisa alivinunua Kenya, yupo kwenye hali gani sasa hivi? Serikali yenu ya 'kibabe' haijui kushirikisha ubongo jombaa. Inaona sifa kuchapa hesabu za minus tu kama vijitoto vya shule ya chekechea
 
Tanzania sometimes tunafanya mambo ya hovyo mnooo, hili halivumiliki kwakweli.

Miaka ya zamani tuliamini kuwa mapolisi wa Kenya ndio makatili sana kumbe hawa wakwetu ni zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…