Kwani kati ya Jamsheed na Shamte ni nani alikuwa na madaraka makubwa ya kiutendaji huko Visiwani kabla ya mapinduzi ?..Sultani Jamshid baada ya kupinduliwa kwanini hakukimbilia Oman?
..Kwanini imewachukua muda mrefu Oman kumruhusu Sultani Jamshid kuweka makazi yake huko?
NB:
..Oman ni mali ya Zanzibar kwasababu ndio ilikuwa makao makuu ya Sultani mpaka alipofariki.
..Baada ya Sultani kufariki himaya yake ikagawanywa kwa hila na Oman ikaporwa.
cc Kibunango, Nguruvi3
Yuko hai bwanaaaa.Ndio unajua Leo? Alikimbia baada ya mapinduzi na amekufa mwaka Jana nadhani
Kuna mtawala aliyepinduliwa alikufa mwaka janaYuko hai bwanaaaa.
Rais Salimini Amur alishawakaribisha zamani sana. Hata kijukuu cha Princess Salme binti Said ambaye aliolewa na Mjerumani alikuja kutembelea Zanzibar na kupigiwa bonge ya shoo ya taarab.Kwa vile baada ya Mapinduzi Waarabu hawakufukuzwa Zanzibar bali kimbia wenyewe, tumshauri Rais Samia, atoe msamaha wa jumla kwa Wanzanzibari wote walioikimbia Zanzibar, wako huru kurejea na kuja kuanza upya na sio kurejeshewa yale ma kasri yao bali warejee kwao walipo zaliwa, ili wakiitwa kutoka kwenye dunia hii, waondoke kwa Amani.
Sultan Jemshid hakufa lakini baada ya kifo cha Sultan Qaboos wa Oman mwaka jana, huyu mtawala wa sasa ndiyo alimruhusu kwenda kuishi Oman. He is 92 years old amemuona siyo threat kwa umri wake.Kuna mtawala aliyepinduliwa alikufa mwaka jana
Hapa naeleza kama historia tu nisijeambiwa nataka kutenganisha visiwa hivi viwili vikubwa.Wakati wazanzibari wanataka kujitenga msisahau kuna wapemba na waunguja, hawa waunguja wakiwa Bara wanasema wanaenda Zanzibari na wapemba wakiwa Bara wanasema wanakwenda Pemba.
Hapo tayari kuna mgawanyiko unao ongeza nyufa za matabaka ya kinchi, na ipo siku endapo Zanzibari ilijinasua kutoka JMT basi wapemba nao watapambana kutoka kwenye kifungo cha kutengwa kisaikolojia kama si kiuchumi.
👉🏾 Bado naendelea kujifunza.
Kwani kati ya Jamsheed na Shamte ni nani alikuwa na madaraka makubwa ya kiutendaji huko Visiwani kabla ya mapinduzi ?
Wa Oman ndiyo wanataka wawe chini ya Zanzibar😂😂 kwa hiyo bado wA Znz wenyewe wanataka wawe chin ya Oman. Dumia ima mambo hii.
🤣🤣🤣🤣🤣Unaona mbali kiongoziWa Oman ndiyo wanataka wawe chini ya Zanzibar
Tang na znz ni zake wakt zilishapata uhuru mwaka 61 😀😀😀Hapa ndipo ugomvi wa muungano ulipo.ila usisahau yule Bibi wa uingereza anasema tanganyika na Zanzibar ni zake.kwa hyo muungano hataki uvunjike mtavunjika nyie muungano utabaki
Wakati wazanzibari wanataka kujitenga msisahau kuna wapemba na waunguja, hawa waunguja wakiwa Bara wanasema wanaenda Zanzibari na wapemba wakiwa Bara wanasema wanakwenda Pemba.
Hapo tayari kuna mgawanyiko unao ongeza nyufa za matabaka ya kinchi, na ipo siku endapo Zanzibari ikijinasua kutoka JMT basi wapemba nao watapambana kutoka kwenye kifungo cha kutengwa kisaikolojia kama si kiuchumi.
👉🏾 Bado naendelea kujifunza.
Hivyo vitabu vy historia vya kwenye syllabus kuna sehemu vinasema Sultan aliyepinduliwa alikuwa bado sultan wa Zanzibar uhamishoni Uingereza?Nyie watoto manunda kweli kweli.
Historia hamsomi?
Kwani mapinduzi ya 1964 mnafikiri yalikuwa nani kumpindua nani?
Usultani ni himaya, kama Mkuu wa Mkoa.Hivyo vitabu vy historia vya kwenye syllabus kuna sehemu vinasema Sultan aliyepinduliwa alikuwa bado sultan wa Zanzibar uhamishoni Uingereza?
Retire hii haina maana ya kustaafu.Yaani mpaka mwaka jana Zanzibar ilikuwa na Sultani ambaye alikuwa Uingereza na kustaafu mwaka jana akiwa Omani. Je, akuna mwingine aliyechaguliwa?
'The last Sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the Republic of Tanzania.
The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.'
==========
Samia Suluhu Hassan became president of Tanzania on Wednesday after the death of John Magufuli and news of her inauguration was welcomed by some Omanis.
She is not only the first female president of Tanzania, but the first leader of the country born in the semi-autonomous archipelago of Zanzibar.
We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar
She also has links to Oman through her paternal grandfather, who was born in the eastern town of Al Mudhaibi.
Her relatives in Oman are proud of her.
"We never expected her to become president of Tanzania and that is the reason she is now the centre of euphoria in Mudhaibi, a town where her grandfather was born," a cousin and resident of the town, Mohammed Al Naamani, told The National.
“The last time she visited Oman was in 2016 and she came right here in Mudhaibi to see us. After that, due to her busy political life, she could not make it again.”
Ms Hassan, 61, served as Magufuli’s vice president and last year the pair were re-elected for another five years.
Under the constitution, she will complete the rest of the term in the top job.
Khadija Al Ghaithi, a retired civil servant in Muscat, went to school with Ms Hassan in Zanzibar and said they exchanged messages last week.
"I was expecting her not to answer her WhatsApp messages because of her new powerful position. But she answered my messages of congratulations very warmly. That shows how humble she still is and that power did not get into her head," she said.
Ms Al Ghaithi said she went to school with Ms Hassan when they were 12 years old and kept in touch over the years.
“She was a high achiever in class and very good at communication. She was also always ready to help her friends with anything," Ms Al Ghaithi said.
"I am personally proud of her as a friend but not at all surprised that she made it to the top in her political career."
It was not only those who personally knew her who had warm words.
Residents of Al Mudhaibi rejoiced at her new status, despite having never met her.
"I know her family in Al Mudhaibi but never met her personally when she came here to visit them. But the whole town is talking about her," Ahmed Al Sinawi, 58, told The National.
“We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar, tying the two countries together in our common heritage. I really hope she will be back in town to visit us again."
Camel breeders in Al Mudhaibi. Saleh Al Shaibany for The National
Some people from Zanzibar consider Oman to be their ancestral home. It was ruled by Oman between 1698 and 1890 and during that time, a large number of Zanzibaris emigrated.
In 1890, Zanzibar became a British protectorate and was ruled by local sultans, who all had Omani ancestry.
The last sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the republic of Tanzania.
The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.
Source: www.thenationalnews.com
Baada ya Seyid Said watoto wake waligombana,ikabidi wagawane,mmoja akabaki kutawala Oman mwingine Zanzibar.Wakawa mahasimu na ndo maana Jamshid alishindwa kuingia Oman hadi 2021.Siyo kwamba Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman. Ukweli ni kuwa:
Oman iliifanya Zanzibar kuwa sehemu ya Oman, sawa na Ureno ilivyoifanya Mozambique kuwa jimbo la Ureno.
Zanzibar ilikuwa ni sehemu ya Oman, na Zanzibar ndiyo yalikuwa makao makuu ya Sultan wa Oman, akitawala Oman yote, pamoja na Zanzibar.
Msilete longolongo rudisheni kilomita kumi kuanzia kenya hadi Ntwala,Ukanda wa kilomita kumi ni milki ya Zanzibar,pato mnalopata kutokana na ukanda huo ni pato la haramu na ndio maana Tanzania haiendeleinyote mnajua hela inayopatikana kwa njia za haramu haidumu na haina faida,mnaona masonga mbele kumbe mna ludi nyuma.