Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

Duh! Kumbe Zanzibar ilikuwa na Sultan mwenye asili ya Oman aliyekimbilia uhamishoni baada ya Mapinduzi mpaka mwaka 2021

..nadhani katiba yao ilikuwa inamtambua Sultani pamoja na kwamba Waziri Mkuu ndiye aliyekuwa akiongoza serikali.

..nakushauri utafute taarifa za Znz kujiunga na umoja wa mataifa utaweza kujua walikuwa na utawala wa aina gani.
Cheo cha Sultan kilikuwa cha sherehe tu.
Shamte alikaa madarakani chini ya miezi 2.
Kabla ya hapo utawala ulikuwa wa Muingereza.
 
Cheo cha Sultan kilikuwa cha sherehe tu.
Shamte alikaa madarakani chini ya miezi 2.
Kabla ya hapo utawala ulikuwa wa Muingereza.

..taarifa mbalimbali zinasema Znz ilipewa uhuru 1963 na kuwa CONSTITUTIONAL MONARCHY.

..sasa labda tuangalie ktk mfumo huo Sultani na Waziri Mkuu walikuwa na madaraka gani.
 
Msilete longolongo rudisheni kilomita kumi kuanzia kenya hadi Ntwala,Ukanda wa kilomita kumi ni milki ya Zanzibar,pato mnalopata kutokana na ukanda huo ni pato la haramu na ndio maana Tanzania haiendeleinyote mnajua hela inayopatikana kwa njia za haramu haidumu na haina faida,mnaona masonga mbele kumbe mna ludi nyuma.
Nimecheka sana...🤣
 
Hapa naeleza kama historia tu nisijeambiwa nataka kutenganisha visiwa hivi viwili vikubwa.

Pemba ilikuwa chini ya utawala wa Mazrui wa Mombasa mpaka alipokuja huyo Seyyid Said kutoka Oman na kupigana na Mazrui na kuwashinda ndiyo akakiweka chini ya utawala wake pamoja na Zanzibar.

Hiyo ilikuwa (kama sijakosea) 1820 kabla hata ya kuhamisha makao yake makuu Unguja.

Mabaki ya utawala wa Mazrui bado yapo Pemba kaskazini.
Kabla ya Waarabu kuja Zanzibar Waomani Zanzibar iliuwa inakaliwa na watu weusi.

Kuna kitabu, ''Omani Sultans in Zanzibar,'' (1988) kimeandikwa na Ahmed Hamoud Al-Maamiry.

Katika kitabu hiki anaeleza kuwa Waarabu walifika Pwani ya Afrika Mashariki miaka mingi sana kabla ya Wazungu na Wareno walipowasili 1498 waliwakuta Waarabu ni wenyeji sehemu hizo pamoja na hii Zanzibar.

Wareno waliikalia Oman kutokea India mwaka wa 1508 na mwaka wa 1650 Waomani walifanikiwa kuwatoa nchini kwao.

Wazanzibari wakaomba msaada Oman iwasaidie kuwaondoa Wareno nchini kwao na hili lilifanyika bila ya sharti yoyote.

Waomani waliizingira ngome ya Wareno Fort Jesus kwa siku 33 na mwisho Wareno walisalimu amri na kuondoka Pwani ya Afrika ya Mashariki 1698.

Hivi ndivyo walivyopatikana masultani 12 waliotawala Zanzibar.

Lakini muhimu ni lazima utambue kuwa kufikia hapo Waarabu na Waafrika walioana na hivi leo ndiyo unawaona Wazanzibari hawa waliochanganya damu.

Kwa bahati mbaya wapo wasiopenda hili na kulifumbia macho wakitaka kizazi hiki kinachokwenda nyuma karne na karne kionekane kuwa Zanzibar si kwao kwao ni hawa Waafrika tena wametokea Tanganyika haizidi hata miaka 100 kiasi ukimuuliza wapi kaburi la babu yake hana pa kuonyesha.

Ndiyo hawa leo wanauliza kabla ya kuja Waarabu Zanzibar walikuwa wanaishi watu gani?

Jibu nimelitoa kuwa katika visiwa hivi wakiishi watu weusi na hawa watu weusi wakachanganya damu na Waarabu na ndiyo hawa Wazanzibari waliopo Zanzibar hivi sasa karibia karne saba.

Mzanzibari Riyami ana damu ya Kimanyema. Mzanzibari Barwani ana damu ya Kimakonde.

Wapo wasiopenda hili na ipo sababu lakini hawana ujasiri wa kusema
 
Kabla ya Waarabu kuja Zanzibar Waomani Zanzibar iliuwa inakaliwa na watu weusi.

Kuna kitabu, ''Omani Sultans in Zanzibar,'' (1988) kimeandikwa na Ahmed Hamoud Al-Maamiry.

Katika kitabu hiki anaeleza kuwa Waarabu walifika Pwani ya Afrika Mashariki miaka mingi sana kabla ya Wazungu na Wareno walipowasili 1498 waliwakuta Waarabu ni wenyeji sehemu hizo pamoja na hii Zanzibar.

Wareno waliikalia Oman kutokea India mwaka wa 1508 na mwaka wa 1650 Waomani walifanikiwa kuwatoa nchini kwao.

Wazanzibari wakaomba msaada Oman iwasaidie kuwaondoa Wareno nchini kwao na hili lilifanyika bila ya sharti yoyote.

Waomani waliizingira ngome ya Wareno Fort Jesus kwa siku 33 na mwisho Wareno walisalimu amri na kuondoka Pwani ya Afrika ya Mashariki 1698.

Hivi ndivyo walivyopatikana masultani 12 waliotawala Zanzibar.

Lakini muhimu ni lazima utambue kuwa kufikia hapo Waarabu na Waafrika walioana na hivi leo ndiyo unawaona Wazanzibari hawa waliochanganya damu.

Kwa bahati mbaya wapo wasiopenda hili na kulifumbia macho wakitaka kizazi hiki kinachokwenda nyuma karne na karne kionekane kuwa Zanzibar si kwao kwao ni hawa Waafrika tena wametokea Tanganyika haizidi hata miaka 100 kiasi ukimuuliza wapi kaburi la babu yake hana pa kuonyesha.

Ndiyo hawa leo wanauliza kabla ya kuja Waarabu Zanzibar walikuwa wanaishi watu gani?

Jibu nimelitoa kuwa katika visiwa hivi wakiishi watu weusi na hawa watu weusi wakachanganya damu na Waarabu na ndiyo hawa Wazanzibari waliopo Zanzibar hivi sasa karibia karne saba.

Mzanzibari Riyami ana damu ya Kimanyema. Mzanzibari Barwani ana damu ya Kimakonde.

Wapo wasiopenda hili na ipo sababu lakini hawana ujasiri wa kusema
Hao wamanyema walivukaje bahari mpaka Zanzibar?
 
Yaani mpaka mwaka jana Zanzibar ilikuwa na Sultani ambaye alikuwa Uingereza na kustaafu mwaka jana akiwa Omani. Je, akuna mwingine aliyechaguliwa?

'The last Sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the Republic of Tanzania.

The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.'

==========

Samia Suluhu Hassan became president of Tanzania on Wednesday after the death of John Magufuli and news of her inauguration was welcomed by some Omanis.

She is not only the first female president of Tanzania, but the first leader of the country born in the semi-autonomous archipelago of Zanzibar.

We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar
She also has links to Oman through her paternal grandfather, who was born in the eastern town of Al Mudhaibi.

Her relatives in Oman are proud of her.
"We never expected her to become president of Tanzania and that is the reason she is now the centre of euphoria in Mudhaibi, a town where her grandfather was born," a cousin and resident of the town, Mohammed Al Naamani, told The National.

“The last time she visited Oman was in 2016 and she came right here in Mudhaibi to see us. After that, due to her busy political life, she could not make it again.”

Ms Hassan, 61, served as Magufuli’s vice president and last year the pair were re-elected for another five years.

Under the constitution, she will complete the rest of the term in the top job.

Khadija Al Ghaithi, a retired civil servant in Muscat, went to school with Ms Hassan in Zanzibar and said they exchanged messages last week.

"I was expecting her not to answer her WhatsApp messages because of her new powerful position. But she answered my messages of congratulations very warmly. That shows how humble she still is and that power did not get into her head," she said.

U6VPROBIL4GULEHNEJY63UX7CQ.jpg
Ms Al Ghaithi said she went to school with Ms Hassan when they were 12 years old and kept in touch over the years.

“She was a high achiever in class and very good at communication. She was also always ready to help her friends with anything," Ms Al Ghaithi said.

"I am personally proud of her as a friend but not at all surprised that she made it to the top in her political career."

It was not only those who personally knew her who had warm words.

Residents of Al Mudhaibi rejoiced at her new status, despite having never met her.
"I know her family in Al Mudhaibi but never met her personally when she came here to visit them. But the whole town is talking about her," Ahmed Al Sinawi, 58, told The National.

“We are all proud of her. She is a living example of the deep ties between Oman and Zanzibar, tying the two countries together in our common heritage. I really hope she will be back in town to visit us again."

Camel breeders in Al-Mudhaibi. Saleh Al-Shaibany for The National

Camel breeders in Al Mudhaibi. Saleh Al Shaibany for The National

Some people from Zanzibar consider Oman to be their ancestral home. It was ruled by Oman between 1698 and 1890 and during that time, a large number of Zanzibaris emigrated.

In 1890, Zanzibar became a British protectorate and was ruled by local sultans, who all had Omani ancestry.
The last sultan who ruled Zanzibar was Jamshid bin Abdullah, who was deposed in a coup in January 1964. In April that year, Zanzibar united with Tanganyika to form the republic of Tanzania.

The last sultan of Zanzibar retired in Oman in September last year after more than 50 years in exile in the UK.

Source: www.thenationalnews.com
Vipimbi nyie hamsomi hata historia ya nchi yetu na tulikotoka.
 
..kuna aliyefuatilia picha za Masultani wa Znz?

..kuna wengine ni WAAFRIKA kabisa.

..hata kuwaita waarabu-koko ni kuwaonea.

..inawezekana mama zao ambao inasemekana walikuwa Waafrika walikuwa na damu kali sana.

..au baba zao Waarabu walikuwa wakisaidiwa na Waafrika ktk masuala ya " kufyatua"
 
Back
Top Bottom