Tungekufa maskini lakini nyinyi mngekufa njaa 😀Unatumia nguvu nyingi kujaza uzi bla bla ambazo sidhani hata kama kuna mtu anapoteza muda kuzisoma labda waimba mapambio wenzio, cha msingi takwimu zinaonyesha mapato yenu ya kilimo kwenda nje yameshuka 55% ukizingatia sisi ndio tumenunua sana kutoka kwenu, hivyo tungefuata mahindi kwengine kama vile Zambia, mngesota na kukauka balaa, sisi huwakomboa sana hata mkijipiga kifua.
Bila ya sisi mtaendelea kuogelea kwenye lindi la umaskini.
Mahindi hayahusiki hapo, toka lini BoT ikadeal na mahindi? Hivi pale Namanga au Holili au Horohoro kuna ushuru wowote wauzaji wa mahindi Kenya hutozwa? Mkulima akishavuna mahindi yake yupo huru kusafirisha kiasi chochote na kupeleka sehemu yoyote bila serikali kumtoza makato yoyote (hata ikizidi tani 1 bado atatozwa vijisent mbuzi tu ambavyo havifiki hata Halmashauri achilia mbali BoT)Wapi zimetofautiana, tatizo lenu kingereza huwapa changamoto sana.
Uuzaji wa mazao ya kilimo kwenu umepungua asilimia 55% yaani kwa mwaka 2019 mumeuza nje $508.8 million kutoka $1.129 billion za hapo awali, hii imechangiwa na vurugu zenu kwenye korosho.
Hizi ni takwimu za mauzo ya kilimo chote bila kuchagua aina gani ya mazao, hivyo kama mumedondoka vyote hivyo ukizingatia Kenya walinunua sana kutoka kwenu, ina maana tungeelekeza pua kwengine kama vile Zambia mngeteseka sana.
Najua napiga ngitaa ambayo hauna uwezo wa kuelewa wala kufahamu kinachozungumzwa kuhusu, ndivyo mlivyo watu wa mapambio.
Wewe ni mjinga sijui kama unalifahamu hilo,
Article imezungumzia Cash crop ya cashew nuts alafu wewe unaandika eti mahindi yamefanyaje,
Punguza shobo za kijinga.
Sitoweza kukufundisha kingereza, itabidi nikate tamaa....
'Cash crops' ipo ndani ya 'Agricultural exports', mahindi ni mojawapo wa kitu kinachoitwa 'regulated agricultural exports' maana ni 'food crop' na nyie mnaitumia kama 'staple food', kwa hivyo inakua exported wakati ipo 'surplus'.
Korosho mnaikuza kama 'cash crops' ambavyo vyote vinafahamika kama 'Agricultural exports', sasa mauzo yenu ya 'Agricultural exports' yameshuka 55%
Wewe kubali tu umedandia treni usiyo jua inaenda wapi,Sitoweza kukufundisha kingereza, itabidi nikate tamaa....
'Cash crops' ipo ndani ya 'Agricultural exports', mahindi ni mojawapo wa kitu kinachoitwa 'regulated agricultural exports' maana ni 'food crop' na nyie mnaitumia kama 'staple food', kwa hivyo inakua exported wakati ipo 'surplus'.
Korosho mnaikuza kama 'cash crops' ambavyo vyote vinafahamika kama 'Agricultural exports', sasa mauzo yenu ya 'Agricultural exports' yameshuka 55%
Atuambie ile Ebola imefika wapiWe kubali umedandia treni kwa mbele bhna acha kujitetea, hzo ni data kabla ya mauzo ya korosho ambazo zishauzwa kama 700+M we umedandia tu huko habar kuleta huku. Afu kumbuka propaganda zenu za kuichafua Tz ili mpate watalii zimefeli, 2020 Tz tunahit 3+Bln kutoka kwe utalii while kwenu utalii utazidi kudecline. Am sorry broh
We kubali umedandia treni kwa mbele bhna acha kujitetea, hzo ni data kabla ya mauzo ya korosho ambazo zishauzwa kama 700+M we umedandia tu huko habar kuleta huku. Afu kumbuka propaganda zenu za kuichafua Tz ili mpate watalii zimefeli, 2020 Tz tunahit 3+Bln kutoka kwe utalii while kwenu utalii utazidi kudecline. Am sorry broh
Hahaha kwa hiyo unataka kusema BoT ina reserves ya Kenyan shillings kwenye mazao? Kwani huwa hao wafanyabiashara wa mahindi wanaowauzia ninyi ni mawakala wa BoT,Sitoweza kukufundisha kingereza, itabidi nikate tamaa....
'Cash crops' ipo ndani ya 'Agricultural exports', mahindi ni mojawapo wa kitu kinachoitwa 'regulated agricultural exports' maana ni 'food crop' na nyie mnaitumia kama 'staple food', kwa hivyo inakua exported wakati ipo 'surplus'.
Korosho mnaikuza kama 'cash crops' ambavyo vyote vinafahamika kama 'Agricultural exports', sasa mauzo yenu ya 'Agricultural exports' yameshuka 55%
Hahaha kwa hiyo unataka kusema BoT ina reserves ya Kenyan shillings kwenye mazao? Kwani huwa hao wafanyabiashara wa mahindi wanaowauzia ninyi ni mawakala wa BoT,
Cash crops zote Tanzania ndio husimamiwa na board ya zao husika na serikali ndio husimamia mwanzo mwisho uuzaji wa hayo mazao, maana yake mnunuzi yeyote haruhusiwi kununua mazao kwa mkulima bali kwenye vyama vya ushirika tu chini ya serikali.
Angalia huyu kataifishiwa mzigo wote alionunua kwa mkulima direct (magendo) sababu ni kinyume na sheria, je mahindi au mchele nayo huwa hivi?
Tatizo sio maana ya 'agricultural exports' bali Tatizo ni context yake ina discourse gani kwenye eneo gani.Narudia tena, katafute nini maana ya 'Agricultural exports'
Msifosi kenge kuwa mamba.Ujinga wa watanzania ndio mtaji pekee uliobakia kwa CCM. Maana mtu mjinga hataelewa habari kama hizi hata kidogo, yeye anajua tu CCM ni chama changu. -@namahalasalum. Sio maneno yangu, nimeyanukuu moja kwa moja kutoka kwenye comment za taarifa hiyo. Comments za baadhi ya watz kwenye uzi huu zinadhihirisha wazi huo ujinga ambao umetajwa hapo.
Kwahivyo kwa sera ya Tz cash crops sio agricultural exports? Watu kama wewe ndio walienda shuleni kuvunja madirisha.Msifosi kenge kuwa mamba.
Agricultural exports zinazozungumziwa kwa sera ya Tanzania ni cash crops.
Usihusishe mahindi ktk cash crops.
Mmebugi sana ktk hii taarifa.
Na kama hamjui Serikali yenyewe ilitangaza imepata hasara ya $500+ millions kwa kukosa kuuza korosho kwa msimu huu kipindi bado hazijauzwa.
Inamaana tukirejelea hii taarifa ni kwamba korosho ndio zimeshusha mapato ya mazao ila sio mahindi.
Msifosi vitu ninyi.
Huyo ana haki yake ya kusema atakalo maana hata Uhuruto mlevi ila wapo wanaompenda.
Baba ako aliuza ng'ombe moja ili apeleke ng'ombe wewe shule kumbafu.Kwahivyo kwa sera ya Tz cash crops sio agricultural exports? Watu kama wewe ndio walienda shuleni kuvunja madirisha.
Atuambie ile Ebola imefika wapi
Kweli mtu akishiba anasahau kila kituUnatumia nguvu nyingi kujaza uzi bla bla ambazo sidhani hata kama kuna mtu anapoteza muda kuzisoma labda waimba mapambio wenzio, cha msingi takwimu zinaonyesha mapato yenu ya kilimo kwenda nje yameshuka 55% ukizingatia sisi ndio tumenunua sana kutoka kwenu, hivyo tungefuata mahindi kwengine kama vile Zambia, mngesota na kukauka balaa, sisi huwakomboa sana hata mkijipiga kifua.
Bila ya sisi mtaendelea kuogelea kwenye lindi la umaskini.
Kweli mtu akishiba anasahau kila kitu
Tunawalisha sisi mnashiba mnaanza dharau sasa bila sisi hamuwezi kuwa na maendeleo unasahau umbwa wewe[emoji23][emoji23][emoji23]