EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,100
Nimetumiwa message ina maneno makali kweli halafu mwisho nimeambiwa "I am lettin you go" ikafuatiwa na neno bye.............Hiki si kibuti jamani? Does this mean i am single again? Mnataka kujua sababu? Sijapiga simu kwa kama siku tano hivi coz i just wasn't in the mood....