MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mawakli walioenda kutetea ili ndege iachiwe wametoa baadhi ya sababu ikiwemo kwamba eti ndege yenyewe hutumika na rais na imesababisha shughuli za rais za kimataifa kukwama. Jameni hawa Wasouth sio watu wazuri, yaani wakupe uongozi wa SADC kisha wakukwamishe kwa kukamata chombo cha usafiri wako.
Hawakumbuki kwamba mliwakomboa na kuikomboa Afrika.
Japo pia ni suala la aibu na hatari kwa ndege ya mkulu kuachiwa ikamatwe kizembe hivyo, yaani sasa ipo mikononi mwa Wasouth....yaani Afrika bana
--------------------------------------
TANZANIA has asked South Africa’s High Court—Gauteng Local Division—to treat with extreme urgency the application for release of Air Tanzania Company Limited’s (ATCL)aircraft in South Africa.
Advocate Victor Nkhwashu, an appointed attorney for the government in the matter has provided reasons in an affidavit to justify the urgent hearing and determination of the application by the South African court.
Advocate Nkhwashu stated in the affidavit that the seized aircraft is used by the President of the United Republic of Tanzania.
Presently, the advocate stated, the head of state was unable to meet his international obligations due to the plane grounding at OR Tambo International Airport.
Hawakumbuki kwamba mliwakomboa na kuikomboa Afrika.
Japo pia ni suala la aibu na hatari kwa ndege ya mkulu kuachiwa ikamatwe kizembe hivyo, yaani sasa ipo mikononi mwa Wasouth....yaani Afrika bana
--------------------------------------
TANZANIA has asked South Africa’s High Court—Gauteng Local Division—to treat with extreme urgency the application for release of Air Tanzania Company Limited’s (ATCL)aircraft in South Africa.
Advocate Victor Nkhwashu, an appointed attorney for the government in the matter has provided reasons in an affidavit to justify the urgent hearing and determination of the application by the South African court.
Advocate Nkhwashu stated in the affidavit that the seized aircraft is used by the President of the United Republic of Tanzania.
Presently, the advocate stated, the head of state was unable to meet his international obligations due to the plane grounding at OR Tambo International Airport.